Papa mwenyewe analindwa kishenzi.
Arusha trh 10Kaja nq ndege buana... sasa hilo gar lije halafu lirudi wakat yeye kesho tu anaasepa zake! unafkiri zaidi ya Mbeya ataenda mkoa mwingine, thu butu!
Na wewe sio kila kitu uchangie bwashee, vingine soma tuu uburudike! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siyo kila kitu unahoji hoji bwashee!
Wale sio viongozi wa dini bali ni wachumia dinikuna Viongozi wa kidini wanahubiri sana kuamini Ulinzi wa Mungu huku kazungukwa na Mabaunsa wanamlinda
Bwana asipourinda Mji aurindaye afanya kazi bule.Tangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina.
Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.
Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.
Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?View attachment 2317044View attachment 2317045
Mtu mwovu hata akiona tu polisi wanapita anatetemeka.Kwa kawaida mtu akiwa mhalifu, muuaji na dhulmati lazima atakuwa na hofu ya kuuliwa.
ndohapo sasa kwamikoa yahuko Mbeya ndoimeisha hiyo
Kwa sasa 'Hirizi' zinafanya Kazi Kubwa na Nzuri kuliko Binadamu na Vyombo tulivyovizoea.Tangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina.
Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.
Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.
Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?View attachment 2317044View attachment 2317045
Iko hivi walianza kupunguzwa idadi kwenye convoy ya maza ila kwasasa ni kama wanaonekana kwa nadra kinyume na enzi ya mtukufu walikuwepo kila uchwaoHao jamaa wapo labda kama wamepunguzwa idadi
Yah kweli hazipo siku hiziBila kusahau helikopta 2 juu,Magu bwana ππππ
Huna unalolijua mkuu. Ni bora unyamazeKaja na ndege buana... sasa hilo gari lije halafu lirudi wakat yeye kesho tu anaasepa zake! unafkiri zaidi ya Mbeya ataenda mkoa mwingine, thu butu!
Acha story za kukaririshwaUlinzi wa viongozi wa juu hasa rais, duniani kote sio la mchezo.
Yakitokea mauaji ya rais hapo nchi inaingia kwenye mpasuko unaoweza leta mauaji makubwa kama sio vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Acha apewe ulinzi kama wote ili kuzuia gharama za kizembe zitokanazo.
Wamerudi kwa kishindo hao jamaa wa bunduki kubwaTangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina.
Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa.
Pia wale jamaa zetu wenye silaha nzito ambapo kipindi cha awamu ya 5 kuna waliosema wanatokea kwa "tolu" siku hizi hawapi tena kwenye msafara wa mama.
Je kuna mabadiliko katika ulinzi wa Rais Samia?View attachment 2317044View attachment 2317045
Hawaepukiki hao.Wamerudi kwa kishindo hao jamaa wa bunduki kubwaView attachment 2322019
Na hili nalo mkalitizame kwa ukaribuHivi binadamu anaweza kukuhakikishia ulinzi 100%?
Weka ulinzi wa kawaida mengine mwachie Mungu.
Sio kwa bunduki za waziwazi kama hao mafisadi wenu.Papa mwenyewe analindwa kishenzi.