Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Hapana 😂😂😂 nilichomoa laki 8 nikaenda wela fixedshwaah wiki2 limeisha 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana 😂😂😂 nilichomoa laki 8 nikaenda wela fixedshwaah wiki2 limeisha 😂
Kwaiyo saivi million ni laki!Huwezi kukaa meza moja na mimi na milioni yako ya 2025 sisi tuliishika milioni ya mwaka 2000
Huo ni wakati ambao milioni ilikuwa ni milion kweli kweli
Dah ila haya maisha mimi ningeipata nikiwa na 20 maybe ila yule mwanamke akanichelewesha hadi tulipoachana nikiwa na 21 nikashika 1m yangu ya kwanza.
Yaweza kuonekana ni hela ndogo ila kwa mimi kiukweli na maisha niliyotokea without any backup nikafikisha 7digits za kwangu kwa kudunduliza na sio za kuotea au kupewa asee was a miracle.
Nabisha 🤣😸Nikiwa na 15 yrs…
Mwanaume atakayebishia comment yangu namtongoza…!! 😹😹😹
Hongera sana mkuuMungu akijaalia hadi 2030 Nina bil 1
Kuna ndugu yangu alipata kiinua mgongo 800K mwaka huo.Mwaka huo hiyo ni salary ya mwajiriwa kwa mwaka mmoja.
You are right.Kuna ndugu yangu alipata kiinua mgongo hiyo 800K mwaka huo.
Miaka zaidi ya 32 kazini .... dah!
Mama wa classmate wangu alikuwa mwalimu alipata 1M kiinua mgongo 1996.