Ulipataje kiwanja chako?

Ulipataje kiwanja chako?

Mara nyingi serikali inakulipa na kupewa kiwanja kilicho pimwa, si unaona Kipawa? walipewa viwanja vilivyopimwa Chanika. na unalipwa kulingana na eneo lako kwa mfano km palipimwa na afisa Ardhi na serikali ikapataka tena Pesa yake ni kubwa zaidi plus thamani ya jengo. kuliko aliye jenga sehemu ya kiholela.
Upo sawa sipingani nawe,
 
Najua kuna mitaa unayoitamani mpaka sasa,

Sasa nenda kazungukie huko, lipia pikipiki akuzungushe, uzijue njia, kuna sehem unayoifikiriaga mbali kumbe ni karibu, vuruga vuruga huko.

Afu like a month before, ongea na madalali wa maeneo hayo.. kuwa unatafuta eneo, kuanzia sehem flan mpka flan, kisiwe na mgogoro, kiwe na barabara ya uhakika, nk nk...

bei unawapa chini kdg ya range zako, na unawaeleza kama kitakuvutia Sana utajivuta zaidi.

Jiandae kupigiwa Sana na kuharakishwa kutoa hela, Ila wewe relax, kavione vyote utakavyoitiwa, kama hamna hata kimoja waache waendelee, ukikipenda, anza kuwachekecha, fanya uchunguzi wote kabla, maana Kwanza hela yote huna mpaka mda huo. (Kichaka cha kujificha, "bado nafikiria" , nashauriana na familia,)..

Ila ukianza kutafuta Una hela mfukon, hata hutajua ni sangapi ulishanunua...
 
Najua kuna mitaa unayoitamani mpaka sasa,

Sasa nenda kazungukie huko, lipia pikipiki akuzungushe, uzijue njia, kuna sehem unayoifikiriaga mbali kumbe ni karibu, vuruga vuruga huko.

Afu like a month before, ongea na madalali wa maeneo hayo.. kuwa unatafuta eneo, kuanzia sehem flan mpka flan, kisiwe na mgogoro, kiwe na barabara ya uhakika, nk nk...

bei unawapa chini kdg ya range zako, na unawaeleza kama kitakuvutia Sana utajivuta zaidi.

Jiandae kupigiwa Sana na kuharakishwa kutoa hela, Ila wewe relax, kavione vyote utakavyoitiwa, kama hamna hata kimoja waache waendelee, ukikipenda, anza kuwachekecha, fanya uchunguzi wote kabla, maana Kwanza hela yote huna mpaka mda huo. (Kichaka cha kujificha, "bado nafikiria" , nashauriana na familia,)..

Ila ukianza kutafuta Una hela mfukon, hata hutajua ni sangapi ulishanunua...
Ahsante sana kwa mchango wako nitafanyia kazi.
 
Sijui uko wapi, na utaratibu huko ukoje!

Huku kwetu maviwanja yamepimwa na "Halmashauri", unaenda unachagua kwenye ramani unapewa gharama kwa Sq.meter, unaendelea na malipo. Wakati wa kujenga, unapeleka ramani yako kupitishwa ndiyo unajenga.

Ukitaka kujinunulia tu na kujijengea, toka nje ya mji kabisa (yaan kimbilia porini hukoooo), la sivyo mjini unagongwa X
 
Sijui uko wapi, na utaratibu huko ukoje!
Huku kwetu maviwanja yamepimwa na "Halmashauri", unaenda unachagua kwenye ramani unapewa gharama kwa Sq.meter, unaendelea na malipo. Wakati wa kujenga, unapeleka ramani yako kupitishwa ndiyo unajenga. Ukitaka kujinunulia tu na kujijengea, toka nje ya mji kabisa (yaan kimbilia porini hukoooo), la sivyo mjini unagongwa X
Ahsante nitafuatilia pia almashauri.
 
Habari zenu.Mungu akijaalia nimepanga kabla huu mwaka haujaisha niwe na kiwanja naendelea kusave save huku nikiisubiri December nifanye jambo langu.

Sasa kinachonitatiza ninapataje kiwanja kizuri au sifa ya kiwanja kizuri ni ipi(nipo mkoani) na ninakipata kupitia dalali ama kuna njia nyingine.

Wenye kumiliki maeneo na nyumba please share na mimi ulipataje eneo lako na uliangalia nini zaidi kwenye eneo hilo.Shukrani
 
Sijui uko wapi, na utaratibu huko ukoje!

Huku kwetu maviwanja yamepimwa na "Halmashauri", unaenda unachagua kwenye ramani unapewa gharama kwa Sq.meter, unaendelea na malipo. Wakati wa kujenga, unapeleka ramani yako kupitishwa ndiyo unajenga.

Ukitaka kujinunulia tu na kujijengea, toka nje ya mji kabisa (yaan kimbilia porini hukoooo), la sivyo mjini unagongwa X
 
Hakuna formula, kikubwa usalama wa kilipo kiwanja isijekuwa kigogo madimbwini... Na uhalali wa kiwanja isijekua na migogoro pesa ikapotea. Kwenye ununuzi mwanasheria ahusike na majirani pia muhimu japo si lazima
 
KUna Njia mbili nzuri za kupata kiwanja moja ni kupitia balozi au kiongozi wa serikali ya mtaa unaopenda kujenga au kuishi. Hao wsnawajua wamiliki halali wa maeneo. Muda mzuri wa kubaini eneo zuri ni wakati wa masika ili kubaini changamoto za eneo hilo. Kupitia dalali gharama huwa juu bora uende kwa wamiliki moja kwa moja.
Epuka kununua maeneo ya urithi au ukoo hayo yana migogoro isiyokwisha.
Njia ya pili ni viwanja vilivyopimwa kupitia ofisi za ardhi wilaya. Hapo kuna viwanja aina mbili. Viwanja vya halmashauri na viwanja vya maafisa ardhi. Kazi ni kwako.
 
NJIA FUPI za kununua kiwanja kwa umakini na uhakika na itakao kuokolea gharama mbalimbali kama vile gharama za uvunjifu wa nyumba, mipaka ya kiwanja chako na road reserve, mafuriko, kuuziwa mara mbili, uhalali wa umiliki wa muuzaji, kama kina mgogoro NI MOJA TU waulize majirani wanaolizunguka eneo hilo kwa kupata status ya hicho kiwanja, utapata majibu yote na hutapata shida mbeleni
 
Habari zenu.Mungu akijaalia nimepanga kabla huu mwaka haujaisha niwe na kiwanja naendelea kusave save huku nikiisubiri December nifanye jambo langu.

Sasa kinachonitatiza ninapataje kiwanja kizuri au sifa ya kiwanja kizuri ni ipi(nipo mkoani) na ninakipata kupitia dalali ama kuna njia nyingine.

Wenye kumiliki maeneo na nyumba please share na mimi ulipataje eneo lako na uliangalia nini zaidi kwenye eneo hilo.Shukrani
Habari ?
Kiwanja unaweza kupata namna nyingi siku hizi Kuna Tausi portal unaweza kuingia humo na kujipatia kiwanja,
Lakini pia kiwanja kinahitaji kufahamiana na watu sahihi, yaan upate sehemu nzuri inayofikika na hakuna shida, ningeandika mengi hapa ila ....
 
Habari ?
Kiwanja unaweza kupata namna nyingi siku hizi Kuna Tausi portal unaweza kuingia humo na kujipatia kiwanja,
Lakini pia kiwanja kinahitaji kufahamiana na watu sahihi, yaan upate sehemu nzuri inayofikika na hakuna shida, ningeandika mengi hapa ila ....
Salama ahsante kwa ushauri nilishapata.
 
Back
Top Bottom