Kwa kifupi tayari Tanesco ipo decentralized.. kitambo sanaHalafu huu ni ujinga, yaani nchi nzima inategemea kapointi kamoja tu umeme unakata pote!
Kwa nini wasingedecentralize hizo power sources and control zikawa hata kimajimbo au kanda?
Kwa fizikia ya darasa la tatu sijui la sita ina maana nchi yetu inatumia muundo wa mfuatano na sio muundo sambamba!!!?
Sina maana mbaya likininaomba kuuliza.. Zanzibar upo?[emoji23]Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.
Je ulipo wewe umeme upo?
Pia soma;
TANESCO yatangaza hitilafu ya umeme, mikoa kadhaa kukosa huduma ya umeme
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II. “Hitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo...www.jamiiforums.com
Eee ndo nakofundishia,Niko mpigamiti primary school
Nipo Zanzibar ila hakuna umemeSina maana mbaya likininaomba kuuliza.. Zanzibar upo?[emoji23]
Hata mimi sehemu nilipo huku Dar umerudi now.Umeme ulizimika Pwani na DAR umerudi kwenye saa tisa vile!
Ndio hukuhuko.Yeah.
Basi vizuri..Karibu sana bombambili mkuu🤗🤗Ndio hukuhuko.
Unanikaribisha kiukweliukweli?Basi vizuri..Karibu sana bombambili mkuu[emoji847][emoji847]
Karibu ndyo 🧐🧐Unanikaribisha kiukweliukweli?
Ngoja nichukue pikipiki nakuja chap.Karibu ndyo [emoji3166][emoji3166]
Sawasawa 👊...unakujua au nikupe maelekezo🙃🙃Ngoja nichukue pikipiki nakuja chap.
Nipe maelekezo..Sawasawa [emoji109]...unakujua au nikupe maelekezo[emoji854][emoji854]
Fika kwanza hadi Roman hapa halafu nipigie nikufate😀😀Nipe maelekezo..
Sasa nikupigie na nini jaman.Fika kwanza hadi Roman hapa halafu nipigie nikufate[emoji3][emoji3]