Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Halafu huu ni ujinga, yaani nchi nzima inategemea kapointi kamoja tu umeme unakata pote!

Kwa nini wasingedecentralize hizo power sources and control zikawa hata kimajimbo au kanda?

Kwa fizikia ya darasa la tatu sijui la sita ina maana nchi yetu inatumia muundo wa mfuatano na sio muundo sambamba!!!?
Kwa kifupi tayari Tanesco ipo decentralized.. kitambo sana
 
Hauna umeme wanahamisha nyaya kutoka kwenye nguzo za miti kuweka kwenye nguzo za zege

Kazi iendelee

yudaexalioth
jf_Geita
 
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.

Je ulipo wewe umeme upo?

Pia soma;

Sina maana mbaya likininaomba kuuliza.. Zanzibar upo?[emoji23]
 
Wenye nyumba hamna haja ya kuteseka na umeme, kuliko kulipa umeme wa TANESCO jaribuni kuwekeza kwenye solar, TZ kuna jua kuliko mahitaji, na wanaojenga wahakikishe solar ni muhimu kama maji
 
KUWENI wavumilivu tunasubiri mtaalam kutoka south aje atatue. So umeme ni mpk J5 au alhamis
 
Back
Top Bottom