Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PointWenye nyumba hamna haja ya kuteseka na umeme, kuliko kulipa umeme wa TANESCO jaribuni kuwekeza kwenye solar, TZ kuna jua kuliko mahitaji, na wanaojenga wahakikishe solar ni muhimu kama maji
Makaratasi labdaTutakoma au tushakoma!!!!?
Maji pia sasa changamoto. Sijui tutachambia nini
Ni zaidi ya uwendawazimu, sijui hizi halamshauri zinafanya nini? lakini wanaowachagua hao madiwani ni wananchi wenyewe, wananchi wachukue hatua kupambana na watendaji wao wabovu la sivyo huu upuuzi hautaisha, hili la maji ni halmashauri na wanakusanya kodi, budget za halimashauri zinaweza kumaliza huu upuuzi lakini wananchi lazima waamue hawataki hilo tatizoAisee tupo kama tumelogwa vile..
Mafala mafala kabisa...yaani Mwanza na yenyewe inakuwa na shida ya maji..
Acha umaandazi wewe mwehu kabisaNikuulize swali hali hii imekuwa inajirudia rudia au?
Nimecheka sanaSgr ikikamilika tutaiendesha kwa umeme wa mavi naona nchi ngumu hii
Hapo simu ikiita kosa...
Huu umeme haupo Tz nzima, ile kusema "baadhi ya maeneo" ni kupunguza muonekano wa madhaifu yao.
Uwooooo
Jamaniiii majiiiii. Maji yamerejea