Achana nae huyo, haniwezi😂Inakufikia popote ulipo
mshamba_hachekwi anapata wivu
Naona mnaenda kuuza transformer.safi sana
Itakuua hiyo mijimama🤣🤣🤣
Unazingua, safi ya nini sasa 😂😂safi sana
Itakuua hiyo mijimama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na hivi hamna umeme hicho kifani utakizungusha kwa mdomo
mafuta yake halali yangu,Naona mnaenda kuuza transformer.
napendaga sana wakikata umeme watu wakalalamikaUnazingua, safi ya nini sasa 😂😂
Hata nguzo za Tanesco hakuna huku nilipoVip ulipo umeme up?
Iringa mnahitaji umeme wa nini, tumieni mabanzi ya magogo.Iringa hakuna
Mnatumia mshumaa kama uku kwetu sumbawanga?Hata nguzo za Tanesco hakuna huku nilipo
Mi nna ugomvi na februaryUna ugomvi na Januari?