Ulipo kuna umeme muda huu?

Mi kwangu hata wakate umeme na maji mwaka hata sina habari nao. Maana akatt najenga nlipanga nisivute umeme wala maji so nlijipanga, mambo ya shemeji yenu tu kuamini vya bili ndo vizuri. But analipia 200 au chini ya hapo kwa mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…