Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Taifa lenye miaka 62 ya uhuru wa kujitawala lenyewe bado halijitoshelezi umeme wa kutosha licha ya uwepo wa vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme huo.

Umeme mgao, maji mgao, miundombinu duni, huduma zingine za kuunga unga tu.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Taifa lenye miaka 62 ya uhuru wa kujitawala lenyewe bado halijitoshelezi umeme wa kutosha licha ya uwepo wa vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme huo.

Umeme mgao, maji mgao, miundombinu duni, huduma zingine za kuunga unga tu.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
Wapewe waarabu shirika la umeme
 
Back
Top Bottom