Ulipo kuna umeme muda huu?

Ulipo kuna umeme muda huu?

Halafu huu ni ujinga, yaani nchi nzima inategemea kapointi kamoja tu umeme unakata pote!

Kwa nini wasingedecentralize hizo power sources and control zikawa hata kimajimbo au kanda?

Kwa fizikia ya darasa la tatu sijui la sita ina maana nchi yetu inatumia muundo wa mfuatano na sio muundo sambamba!!!?
 
Back
Top Bottom