Na mamilioni ni vice/versa R.I.P in advanceFunga domo lako usinisababishie nafungiwa jf, funga bakuli lako hujui watu tumeumia kiasi gani.
Mimi ni mtu wa kawaida kuna watu humu tunajuana face to face. We mjinga ungekuwa karibu yangu ningekudunda mbaya kwa hasira nilizo nazo.
Mamilion wanalia kwa ajili ya jpm wewe unaongea ujinga, hivi unajua jpm alikuwa muhimu kiasi gani?
Unajua nini maana ya uongozi wewe?
Akili kisoda wewe.
Mama,Baba[emoji4]..Mtu baki[emoji24][emoji134]Alifariki Baba, alifariki Mama nilihuzunika sana tu bila kutoa chozi.
Ila kwa JPM chozi lilinitoka kwa huzuni kubwa huku mapigo ya moyo yakiwa juu sana.
Hadi leo bado ninahuzuni.
Aliwaudhi nini Magu?Mie nilikuwa baa nishatupia kmanjaro 2, kusikia ivo nikaagiza crate zima na mdudu kilo mbili tukaanza kusherekea na wana.
Mimi shem wenu alijuta kuniamsha kunipa taarifa. nilimpa show ya hatari, nilimpa yote niliyofundishwa na somo that day...i was happy.Kwanza tangu nione Kigogo anaongelea hilo twitter, nilianza kuwa mtazamaji mzuri wa TBC.
Kisha nikadownload ule wimbo wa "hakuna Mungu kama wewe Bwana" nikawa nausikiliza taratibu na ule "Yupo Mungu mbinguni ajibuye maombi yetu".
Siku inatangazwa nilikuwa nimeweka TBC kwa hiyo niliipata pale pale. Nikajikuta naropoka hatimaye[emoji119]. Nikaweka ngoma yangu ya " Hakuna Mungu kama wewe bwana" nilisifu mpaka saa 10 usiku.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] una ufalaMimi shem wenu alijuta kuniamsha kunipa taarifa. nilimpa show ya hatari, nilimpa yote niliyofundishwa na somo that day...i was happy.
Msipende sifa na kuitajataja corona hiyo unauhakika kweli hao watu walikufa kwa corona???! Furahia sasa magu hayupo ndio muda wako ila ukikuwa kiakili utamkumbuka baada yakuona mazuri yake, r.i.p mwamba kutokea chatoWatu tunazika watu wetu kwa corona kila siku halafu yeye anasema Tanzania haina corona! Alistahili sana kufa kwa corona hiyo hiyo.
Kwann mandah! Imebidi nicheke tu.
🤣🤣🤣🤣 Fala weweHiyo siku nilikuwa nimepiga k-vant kubwa nikasema nipumzike nje kidogo ili nisiwasumbue wa ndani, bahati mbaya usingizi ukanipitia.
Nakuja kushituka nakuta wapangaji wapo nje wanalia. Nikajua labda nilizima, walivyoona siamki wakajua nimevuta.
Nikaamua kuamka ili kuonesha mi ni mzima, nikaona hata hawana mpango na mimi. Ndio kuna jamaa akatamka kabisa kuwa Magufuli kafariki.
Msipende sifa na kuitajataja corona hiyo unauhakika kweli hao watu walikufa kwa corona???! Furahia sasa magu hayupo ndio muda wako ila ukikuwa kiakili utamkumbuka baada yakuona mazuri yake, r.i.p mwamba kutokea chato
Mimi mmoja wapo nilimpenda mno,nilitamani hata utokee muujiza aamke.
Endelea kupumzika kwa amani rais wangu.
Sawa
Nlikuwa Hostel nasoma Usiku Dah Nkaanza kuamsha masela huku machozi yananitoka [emoji26]Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"
Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.
msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.
Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.