Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Nyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
Hujaona kwamba kuna shida moja ilikuwa imetoroka yenyewe hapo?😝😝😝😝😝
 
Nikiwa hapa mji dsmlamu nilikiwanakaribia. Kulala bas Niko na jirani angu Apo katuliaa getoni kwake tuli bass jamaaa akakimbia chumbani kwangu kuwa meko amefariki duh nikasikitika snaa.

Kweli nikasema wamemuaa itakuwa Jamaaa alinishangaa sna kwa jinsi nilivyoupokeee msiba huo nilidondosha Choz kbsa nikajikaza kimya kimya bas jamaa aalinishanga sana jins nilivyo upokea alizani nitafuraia ilaa uliniumma snaa ckupenda kifo chake kwa kweli
Bado una majonzi.Pole sana.Hata kuandika tu unatetemeka.
 
Nilikua sehemu nimekaa nakunywa soda...akaja jamaaa fulani ananambia oya baba amevuta nikashtuka sana na kumpa pole nyingi...ikabd nimuulize mnazika lini na lin utaenda mbeya??....

Nashangaa ananijibu magufuli na mbeya wapi na wapi....heee nikashtuka kumbe magu?? Nikajua baba ako nilishangaa sana jamaa ananambia hivyo huku analia sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....ikabd nimpe pole akapokea pole yangu nikaendelea kunywa soda
 
Nilikuwa nimelala usiku kama saa sita na kidogo, nikamsikia mtoto wa sista ananiita ile natoka ananiambia kuna mtu kamtumia msg Whatsapp kwamba Magufuli kafa hivyo aweke TBC wanatangaza.

Ndio mbio tukakimbilia kuwasha TV na kukuta Mama SSH anatangaza.
 
Nilikua sehemu nimekaa nakunywa soda...akaja jamaaa fulani ananambia oya baba amevuta nikashtuka sana na kumpa pole nyingi...ikabd nimuulize mnazika lini na lin utaenda mbeya??....

Nashangaa ananijibu magufuli na mbeya wapi na wapi....heee nikashtuka kumbe magu?? Nikajua baba ako nilishangaa sana jamaa ananambia hivyo huku analia sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....ikabd nimpe pole akapokea pole yangu nikaendelea kunywa soda
dah! Imebidi nicheke tu.
 
Mimi iyo siku nilikua nipo na mtoto ndani aisee. Usiku mzima mechi imechezwa hakuna alokumbuka simu.

Ile asubuh kama saa 1 ivi naamka nakutana na news kila kona ya mtandao na sms kibao kwamba mwamba kavuta.
Ile namwambia yule manzi aisee nilijuta kumwambia alihamishia msiba gheto acha aanze kulia pale wakati mimi huzuni hata sina.
 
Mie nilikua kitandani najiandaa nilale nikapigiwa simu na sister angu ananiuliza kuna habari gani huko mjini nikamwambia huku shwari hakuna shari akasema mbona nasikia Rais amefariki?

Nikacheka sana nikamtoa wasi wasi sister atulie tulii kuna wazushi wanapenda kuzusha mambo akasema ameona kwa Zamaradi kapost, nikashtuka kidogo nikamwambia wait nitamcall back.

Mie mbio mbio hadi Jamii Forum nakutana na TANZIA kuuuuubwa, nililia kwa uchungu daaaah hadi leo hua napata ukakasi sana kumuita Hayati Magufuli nahisi bado yupo nasi,

Continue to rest easy Mzalendo wa kweli,

[emoji24][emoji24]
Sasa magufuli alikuwa na jema lipi?[emoji16] Hadi uhuzunike?
 
uzuri sikuhio nililala mapema, baada ya kuumwa kutwa nzima hoi hoi...

Nilikuja kuambiwa saa11 alfajiri moyo wangu ulipasuka,sikua na amani kutwa nzima kwa mara ya kwanza niliuona msiba unavyoumaga kwakweli ilikua ni gafla mno mpaka leo nashindwa kuamini. [emoji22]
Hujawahi kufiwa?
 
Nilikua JF naperuzi mida yangu ya kulala ilikua mara ghafla natoka jkwaa la mahusiano narudi habri na hoja mchanganyiko nakutana na TANZIA nilisisimka usingizi ukakata machozi yakanilenga nikasema basi tena ndo huku pembeni kwa jirani nasikia Mama Samia anatangaza
Unasisimka magufuli kufariki?
 
Me nilikuwa v lounge, moshi town, nakula vyombo na mchuchu, sina hili wala lile, mara simu inaita, na mziki, nikasema bro ni nn usiku usiku na misimu.

Yaye hakuwa anamkubali Magu, mimi namkubali mbayaa, hadi kiama. Zile fununu tukawa tunabishana sana wanamzushia. Napokea simu naziba sikio moja nimsikilize freshi.

Bro ananiambia, dogo cheki tbc Samia anahutubia taifa, nilivosikia tu hivyo, moyo ukapiga paaa.
Unamkubari kwa lipi propaganda zake?
 
Siku 3 kabla ya tangazo la Kifo chake.

Nilipitishwa ktk(ulimwengu wa roho)

Nilimuona JPM akiwa na mpambe wake.

Jpm Alionekana akiwa na huzuni saana,

Kuna briefcase ya flan ya Rais yule mpambe wa Rais alimkabidhi mtu flan(Ambae alikua kivuri sikumtambua sura wala jinsia).

Shortly Nilikuja kuelewa na kukumbuka maono hy usiku ule baada ya tangazo la msiba.



Taarfa za msiba.

Nilikua nimelala wakaja madogo,(walienda kucheki mechi bandani)

Wanaongea kwa sauti ya juu mpk nikashtuka nikaamka.

Ile kufungua mlango nikaskia "Jamani Magufuli kafariki"

Nikamuuliza we umejuaj?

Akaanza kuelezea.



"Si tulikua tunaangalia mpira ghagla akasimama juu muhuni mmoja, akasema kwa sauti kubwa...JAMAAAANI EEEH TAYARI!!!...wakasema kaachini acha ujinga,tyr nini..

Aksema TAYARI MAGU KAVUTA..

KAMA HAMUAMINI WEKENI TBC 1..

Ikawekwa tukamwona Samia Anahutubia kwa huzuni"

Hatujaendelea na mpra wote tumetawanyika"

Aisee tukawasha tv na redio tukakuta nyimbo za misiba zinapigwa .

Nilichoooka nilisikitika niliporudi kitandani ndo nikakumbuka siku 3 nyuma yale maono niliyoyaona kumbee yalikua na maana hyo.

Nilitokwa machooozi.
 
Ilikuwa usiku, nikasikia Tanzia. Kifupi kwanza si kulala hadi asubuhi, na hamna msiba niliowahi kutoa machozi kama wa hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watanzania tulioumia sana na kufariki kwake. R. I. P Magufuli
Mnachekesha sana
 
Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.

Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"

Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.

msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.

Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
Itoshe kusema nilikunywa sana jameson na kupata wanawake 4 wazuri
 
Back
Top Bottom