Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.

Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"

Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.

msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.

Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
Jamaa yangu ofisini alinipigia cm usiku saa tano sikupokea nikidhani nahitajika au ananipiga kirungu cha hela kunbe alikuwa ananipa taarifa. Basi nimeamka asbh sijui nini kinaendlea nikafungua radio nisikikize bbc ile taarifa ya asbh mara radio inaimba wimbo wa gudluck "tutaonana tena mbinguni tutaonanaa "mi sikujua nimejiandaa nikawasha gari niende ofisini niko njiani nikawasha data nakuta group kumejaa mipicha na r.i.p aseee nilishtuka kidogo lakini kadri siku zinasonga ndio nikajamini mchana mda tumeenda hospitali aliko daaa niliumia sana ila ndio hivyo kazi ya mola haina makosa.
 
Nilikua naangalia mechi ya chelsea vs ATM.... Nikaona kwenye group moja... Nikaingia twitter then nikaangalia TBC.... Sikuelewa nimefurahi au nimehuzunika.... Niliingia chooni nikakata gogo then nikaendelea kucheki mpira mpaka ukaisha ndio sasaa nikaingia magrupuni kuwacheki wafuasi wake mpaka leo wanasikitika ...... In deed it was a mixed feelings.... Yule jamaa bora alienda....
 
It was very shocking,and saddest news to me...
 
Khaaaaaa[emoji134]
Sasa rafiki mtu ambae alikuwa anateka watu,kutesa,kuua,kufanya ukabila,ukanda,udini,ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzake,kuua uchumi,kudanganya data za uchumi,kuiba kura,kuua uhuru wa kujieleza,kuua demokrasia,kuweka mihimili ya nchi mfukoni mwake,kututukania Mama zetu pamoja na dada zetu wapendwa na kadhalika akifa nisifurahi?
 
uzuri sikuhio nililala mapema, baada ya kuumwa kutwa nzima hoi hoi...

Nilikuja kuambiwa saa11 alfajiri moyo wangu ulipasuka,sikua na amani kutwa nzima kwa mara ya kwanza niliuona msiba unavyoumaga kwakweli ilikua ni gafla mno mpaka leo nashindwa kuamini. [emoji22]
Duuh una tatizo mahala Fulani yaani msiba wa magufuli ulikuuma kuliko misiba ya ndugu, jamaa na rafiki zako iliyokwisha tokea
 
Mimi nilikuwa Shinyanga nimeenda kikazi, tumegikia kwemye lodge fulani pale katikati ya mji siku hiyo jioni tena tulikuwa na mjadala kiasi kuhusu afya ya jiwe na yaliyokuwa yanaendelea mtandaoni haswa twitter. Kwenye mida ya saa nne kama na nusu hivi me nkaingia zangu room kulala, nikazima taa na TV kabisa nikawa nazuga zuga kusaka usingizi. Usingizi ukiwa unanipitia pitia kwa mbali nikasikia message imeingia kwenye simu yangu, jamaa yangu mmoja ni mnyarwanda yuko Kigali akanitumia screenshot akiniuliza ni kweli Jiwe amefariki nadhani alitoa kwa Millad Ayo. Ikabidi nikurupuke kuwasha TV nakuta maombolezo na message kuwa rais amefariki daah ikabidi niconfirm kwa jamaa. Sijakaa sawa dereva ambaye tulienda naye, naye akanipigia simu ananipa hizo taarifa nilisikitika sana ingawa jiwe nilikuwa simkubali kivile kwa sera zake za ubabe ubabe. Sikupata usingizi mpk kwenye around saa tisa hivi nikiwa nawaza na kuwazua. Basi ndiyo ikawa hivyo tena jiwe is no more. RIP mwamba
 
mkuu hebu jipige pige kifuani mara tatu sema Mimi na roho mbaya zaidi ya jiwe!
😂😂😂😂🙌
Kati ya mimi na jiwe ambae alikuwa anateka watu,kutesa,kuua,kufanya ukabila,ukanda,udini,ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzake,kuua uchumi,kudanganya data za uchumi,kuiba kura,kuua uhuru wa kujieleza,kuua demokrasia,kuweka mihimili ya nchi mfukoni mwake,kututukania Mama zetu pamoja na dada zetu wapendwa,wateule wake kubaka na kulawiti wananchi(akina Sabaya) na kadhalika ni nani ana roho mbaya?!
 
Tweet zake mbili za mwisho ilikua ni vifo....

Ila ile trend yake ilikua ana tweet kifo then pongezi.... Kifo then pongezi alikua hana habari nyingine....

Admin wake alikua chenga sana.....

Anyway tarehe 17 nilikua naangalia mechi CHELSEA VS ATM...

It was a mixed feelings
Screenshot_2021-07-08-08-35-23-98_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Hii chuki haifai mkuu hata iwe vp lakini alikua ,Rais wetu,baba wa familia,mtanzania mwenzetu amefanya Mambo mengi mazuri Ana deserve heshima hata Kosovo sio comment Kama hizi
Hizi chuki alizipandikiza yeye waziwazi, aliua waliompinga, alitocha, wengine alipiga risasi Mungu akawanusuru, alileta ukabila, ukanda, kauli za ubaguzi wa kisiasa nk.
Hao aliotocha na kuua walikuwa Ni baba, wanna watoto na familia pia, Bora shenzi moja life tuokoe mamia, hiyo maiti yake ife Tena mara ya pili dikteta muuaji mkubwa yeye!
 
Mimi nilikunywa Whisky mapema nikalala.

Sa saba nasikia sauti dirishani kwangu, mshana, mshana amka tukanywe bia jamaa katili kafariki.
Dah..........
Daah...
 
Nililala mapema asubuhi mama ndo ananipigia kuniambia aisee nilipata mixed feelings sikujua nisikitike au nifanyaje but at the end nilidondosha chozi hadi sasa siamini but Magufuli is the best president forever kwa misimamo yake na utendaji kazi wake japo kuna mapungufu alikuwa nayo pia. REST IN PEACE CHAMPION.
 
Nililala mapema asubuhi mama ndo ananipigia kuniambia aisee nilipata mixed feelings sikujua nisikitike au nifanyaje but at the end nilidondosha chozi hadi sasa siamini but Magufuli is the best president forever kwa misimamo yake na utendaji kazi wake japo kuna mapungufu alikuwa nayo pia. REST IN PEACE CHAMPION.
Was he a champion ????
 
Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.

Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"

Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.

msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.

Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
Kiukweli mimi niliishiwa nguvu maana sikuamini kama rais wetu kipenzi mtumbua majibu yaliyowiva na yasiyowiva kufariki.
 
Nilikua zangu job nimetingwa mambo mengi mara inaingia simu ya Bi Mdashi nikasema mmh hajalala kuna nini? Nikapokea fasta, salamu mbili tatu ananiambia Magufuli amefariki daah nili freeze kwa sekunde kadhaa, nikamliwaza liwaza maana alikua humwambii kitu kwa Magu wake huyo alivyokata simu ikaingia simu ya sista napokea nakutana na kilio kikali nikaumia sana nikamliwaza hadi akatulia,

Nikashare sad news na wenzangu walisikitika sana, wakasema ingawa hawakumkubali kwa mengine lakini aina yake ya uongozi waliipenda sababu ndivyo waafrica tunahitaji kiongozi mkali na mwenye kusimamia mambo bila hivyo sisi ni kulala tu, wakatoa pole nyingi kwa Watanzania,

Binafsi hadi leo natamani angekuwepo hai, niliiona Tanzania ikifika sehemu kubwa sana labda kama Mama Samia atatufikisha hiyo nchi ya Ahadi.

Continue to Rest Easy Dady.
 
Mkuu si u download twitter? Kule raia wako fasta
Twitter ninayo ila kipindi kile kifaa changu kilizingua kidogo nikawa nimei uninstall kwa muda, hadi kufikia siku ya tukio nilikuwa sijairejesha
 
Mie nilikua kitandani najiandaa nilale nikapigiwa simu na sister angu ananiuliza kuna habari gani huko mjini nikamwambia huku shwari hakuna shari akasema mbona nasikia Rais amefariki?

Nikacheka sana nikamtoa wasi wasi sister atulie tulii kuna wazushi wanapenda kuzusha mambo akasema ameona kwa Zamaradi kapost, nikashtuka kidogo nikamwambia wait nitamcall back.

Mie mbio mbio hadi Jamii Forum nakutana na TANZIA kuuuuubwa, nililia kwa uchungu daaaah hadi leo hua napata ukakasi sana kumuita Hayati Magufuli nahisi bado yupo nasi,

Continue to rest easy Mzalendo wa kweli,

[emoji24][emoji24]
Daah, ulilia nini sasa?
 
Back
Top Bottom