Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Namkumbuka dada mmoja wa Kimasai aliyenitonya dhalimu kafa tangu tarehe 11 March. Siku hiyo huyo dada aliruka ruka kwa furaha kubwa sana. Wala sikumlaumu kwani kama mfanyabiashara Arusha na Dar biashara zake zimeyumba sana kutokana na sera MUFILISI na kwa muelekeo huu wa samia sidhani kama kutakuwa na ahueni anytime soon.
Kwanini unasema hakuna muelekeo
 
Siku hio sister kanipigia simu saa 5 usiku, nikaikaushia tu nikahisi jambo zito linakuja. Sio kawaida kunipigia late night.

Baadae ananitumia sms eti magufuli kafariki, dah nilizima simu, nikalala! Like nothing happened.

I lost my Job because of him.
And now I am a senior un employed fellow.

6 yrs without a Job
Duh [emoji22]

Pole mkuu
 
Mie nilikua kitandani najiandaa nilale nikapigiwa simu na sister angu ananiuliza kuna habari gani huko mjini nikamwambia huku shwari hakuna shari akasema mbona nasikia Rais amefariki?...
Yani meko kafa unalia
 
Kifo chake nakumbuka kilinipa ban ya kufa mtu hapa Jf mpaka jana nikipobadili ID
 
Nakumbuka nilikuwa nimeenda club kuangalia game ya chelsea na porto kama sio atletico..nikasikia majirani zangu wananong'oneza mara wanaoneshana video ya mama samia akiwa tanga,me nikadhani ni edit mbio mpaka jamii forum ndio nikaamini..Nilishtuka kidogo
 
Ilkua nmelal bro akaniamsha kunambia..aseee!!! Sikuamin nkajua km utan ikanibid niwashe TV nachek TBC nakuta Mama samia anatangaza aseee!!! Bado nliona Kama naota maan hakukua taarfa zozote official kua mzalendo anaumwa ilinifanya mpk usingiz ulikatka

Continue to rest easy mzalendo..[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
 
Mpaka umri wa kuoa hujawahi kufiwa hata na ndugu ukaonja machungu ya msiba. Kwa nara ya kwanza ukayaonja kwenye kifo cha JPM jokate mwenyewe alikuwa anasmile tu
Serious brother.misiba ilitokea kipindi nikiwa bado mdogo sijui hata hili na lile.ukiachilia mbali vifo vya marafiki na majilani ila Cha jpm kilinikomesha sio siri
 
Serious brother.misiba ilitokea kipindi nikiwa bado mdogo sijui hata hili na lile.ukiachilia mbali vifo vya marafiki na majilani ila Cha jpm kilinikomesha sio siri
Kilikukomesha??? Like seriously [emoji848]
 
Daah 😢😢😢 siku hiyo naamka Asubuhi saa 12 kawaida yangu kuangalia taarifa ya habari nafungulia UTV laa haulaa 🙈🙈 naona watangazaji wamevaa nguo nyeusi nyuma yao kuna background ya JPM nilihuzunika sana mwili ukafa ganzi
 
Nilikuwa usingizini,ule usingizi wa mwanzomwanzo(REM)....ghafla nikaamshwa na SAUTI YA MAKAMU WA RAIS MH.SSH kupitia redio bora na pendwa nchini ,TBC...

Kwa kuwa alikuwa LIVE na USIKU nikajua something is terrible....

Niliposikia akitangaza kifo daah MACHOZI YALINIBUBUJIKA bila ya kutoa sauti.....

Niliamka na kuchukua PAKETI YANGU YA SIGARA...bahati zilikuwa ziko 18 baada ya mbili kuzitumia....sikulala tena mpaka ASUBUHI saa 12 NILIPOTOKA kwenda kijiwe cha kahawa.....

Kwa kweli JPM aliniumiza mno.....

REST EASY EL COMANDANTE JPM

#Siempre Hasta la Victoria JPM
#Yetzer ha-tov JPM!
Pooole[emoji848]
 
MUNGU ALIOKOA TAIFA LILILOKUWA LINAANGAMIA!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16] ukajua wanakulilia wewe[emoji1787]
Nilijua wananililia mimi, nikasema niwafanyie suprise kuwa nimefufuka katika wafu lakini nikaona hawana kabisa habari na mimi. Kuna jamaa yangu na yeye mnywaji kama mimi ndio akawa analia huku anataja Magufuli! ndio nikajua wanamlilia Magu na sio mimi.
 
Legasi

8F613563-E4BF-4373-B6B5-DFC5604C6AAC.jpeg
 
mimi nilipiga masanga sana huku niliko yaani kuna vodka moja ya kisoviet niliikamua yote mpaka nikata kuzima kiufupi nilifurahi sana maana mbwa yule amewatesa sana watu kwa ukatili na ubabe wake , kwa ufupi hana maana kabisa yule fala
 
Nilijua wananililia mimi, nikasema niwafanyie suprise kuwa nimefufuka katika wafu lakini nikaona hawana kabisa habari na mimi. Kuna jamaa yangu na yeye mnywaji kama mimi ndio akawa analia huku anataja Magufuli! ndio nikajua wanamlilia Magu na sio mimi.
Haaahaaahaa...umenichekesha asubuhi hii[emoji16][emoji16]
 
Acha kutisha watu mjinga Wewe. Unalazimisha watu wahuzunike kwa Shetani wa Gamboshi Magufuli!
Msukuma wa hedi mkubwa. Haya kaliwa na funza sasa mfuate huko aliko. Pfuuuuuu
Wewe utaliwa na mbwa
 
Back
Top Bottom