DAH mkuu umenikumbusha kipindi nipo primary minazi mirefu darasa la kwanza alikuja mwalimu wa dini akatukusanya watoto wote tukaimba nae wimbo huoiende mbele injili hiyooooo
Kwan alikua hakuon kwel? Mkuuhili pambio ilikua kila nkiliskia nakumbuka sh tano yangu mfukon daah. nilikua nahis ananion kwel
Daah umenikumbusha mbali sana.Wamtumainio bwana ni kama mlima saluni hawatatikisika milele daima. Milelee daimaa milelee daimaa milele; milele milele milele daima
Ahaaa ukijumlisha na utoto naona Jesus yule paleKwan alikua hakuon kwel? Mkuu
Nakumbuka tulipokua tukiimba huo wimbo ssa kile kihere here cha kushangilia yesu analea tukaporomoka na benchi puuuuShangilia Yesuu analeaaa
Yesuu analeaaa...
Baba na mama waliniliea mimi sasa ni zamu ya Yesu
Ambaye atalea roho yangu
Yesu analea
Nakumbuka tulipokua tukiimba huo wimbo ssa kile kihere here cha kushangilia yesu analea tukaporomoka na benchi puuuu
Hahahah
Hahahaah unanikumbusha Michael na watotoWatotoo na malaikaaaaaa
Watoto na malaika
Shangiliaaaaa[emoji445] [emoji445] [emoji445]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha mbali sana Wewe itakuwa tulisali woteKashetani kadogo kadogo
Kashetani kadogo kadogo
Kashetani kadoooo goooooo!
Bwana yesu mkubwa mkubwa
Bwana yesu mkubwa mkubwa
Bwana yesu mkuuuu bwaaaa!