Sio siri Mimi sikutamani kabisa kuwa mkubwa maana kuna kasauti kalikuwa kanakuja kichwani kananiambia "don't grow up its the trap" kanasema "usikue ni mtego"
But papuchi ilikuwa inakinzana na wazo langu hapo juu. Maana ili ugegede kwa Uhuru lazma ukue.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Niote ndevu na mimi niitwe Baba
NB; sio wote wenye ndevu ni Baba
El patronNilitamani kuwa kama PABLO ESCOBAR.
Itakuwa unayapenda sana matiti yakoNilikuwa natamani kuwa na matiti
hahahahaha nimecheka mwenuyewe wee mkaka Mungu anakuonaNilitamani kukuwa ili niwe nachapa mademu tofauti tofauti kila siku na sijutii kurudi nyuma, nina enjoy ile mbaya ila nachukia tu wanaponiganda, yaani wanakuwa wagumu kusoma alama za nyakati.
Pole saa ulikuwa unawaonea wivu wakubwa wakat unaenda shule asbuhi unaona wao wanafaidi sana sasa unatamani urudi shule utoto buna [emoji23][emoji23]Nilipokuwa mdogo kama darasa la kwanza hv Pwani Shule ya msngi nilijiapiza sitasoma zaidi ya darasa la pili nilikuwa naogopa kusoma vibaya mnoooo. Nilikuwa nadhani nitashindwa kusoma ila ajabu mpaka nikamaliza fresh tuu nikikumbuka nacheka saaana.[emoji3][emoji3]
Pia nilikua nataka niwe mkubwa ili nimalize shule tuu nikae nyumbani nilikuwa nawaonea wivu saaana watu wakibaki nyumbn mm naenda shule. Darasa la saba nilikuwa natega sana shule!![emoji3][emoji3][emoji3] ila sasa nikamaliza shule nipo mtaani nilitamani nirudi hata shule nikafagie tuu madarasa.
Now unawakomesha ile mbaya unawatimizia haja zao ndio maana wanakuganda kama ruba[emoji12] [emoji12] [emoji15]Nilitamani kukuwa ili niwe nachapa mademu tofauti tofauti kila siku na sijutii kurudi nyuma, nina enjoy ile mbaya ila nachukia tu wanaponiganda, yaani wanakuwa wagumu kusoma alama za nyakati.