Ulipokuwa mdogo ulitamani kuwa mkubwa, ni nini kilikuvutia kuwa mkubwa?

Pole saa ulikuwa unawaonea wivu wakubwa wakat unaenda shule asbuhi unaona wao wanafaidi sana sasa unatamani urudi shule utoto buna [emoji23][emoji23]
 
Nilitamani kukuwa ili niwe nachapa mademu tofauti tofauti kila siku na sijutii kurudi nyuma, nina enjoy ile mbaya ila nachukia tu wanaponiganda, yaani wanakuwa wagumu kusoma alama za nyakati.
Now unawakomesha ile mbaya unawatimizia haja zao ndio maana wanakuganda kama ruba[emoji12] [emoji12] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…