Atakuwa hajawahi kupewa zawadi huyo ndo mana mawazo yake yalifika mbali [emoji28]Haha umenikumbushia binti mmoja, sikuwahi mtongoza, ila ni mara moja nilimpa tu kijizawad kidogo, Sasa alifikiri namtaka kimapenzi, sahiv nkikutana Naye anafunika uso wake na sweta, au akiniona anabadilisha njia uujn
Hivi mshana nae anakulaga ban?Hi Doctor!
Habari ya kufungoni(ban)[emoji2957] hisia hazikuwepo tena ndiyo maana tukaachana.
Eeh alipewa tena ya mwezi nadhani licha ya kuwa doctor!uganga hata haujamsaidia😂Hivi mshana nae anakulaga ban?
Aisee[emoji1][emoji1][emoji1]Eeh alipewa tena ya mwezi nadhani licha ya kuwa doctor!uganga hata haujamsaidia[emoji23]
Huyu huyu?Seriously Nilitaka kumrudishia akakataa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eeh alipewa tena ya mwezi nadhani licha ya kuwa doctor!uganga hata haujamsaidia[emoji23]
Sitaki kesi watu wakaanza kunililia mimi![emoji124][emoji124][emoji124] [emoji124][emoji124][emoji124]Huyu huyu?
SawaSitaki kesi watu wakaanza kunililia mimi![emoji124][emoji124][emoji124] [emoji124][emoji124][emoji124]
Me aliing'ang'ania nlitaman anipatie walau imsaidie mdogoang kuliko kununua mpya , nmetoa vingi vya thamani ajabu calculator ndo naikumbka had keshoAkii Calculator yangu niliyompa alirudisha🤔
SafiKuna pullover aliacha geto, na yeye alichukua tshirt yangu, kuna siku navaaga lle pullover yake alafu napita kwao akiniona ananuna sana,mara ingine anakimbilia ndani mwao , hata yeye nakutaga kavaa tshirt yangu ila sichukii ...[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app