Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Hakuna mwanaume mwenye nguvu za asili.
Anachokula ndo nguvu zake
Unataka kusema wanaume wa kizungu hawana nguvu za kiume sababu hawali ugali wa Dona ?
ukiona hivyo basi una upungufu wa nguvu, una jibusti, mimi nataka mwanaume mwenye nguvu zake za asili si jitu mpaka linywe K-Vant, Nyagi ndio lisimamie ukucha, wanaume wengi sana mna upungufu wa nguvu.
 
Hakuna mwanaume mwenye nguvu za asili.
Anachokula ndo nguvu zake
Unataka kusema wanaume wa kizungu hawana nguvu za kiume sababu hawali ugali wa Dona ?
WAzungu wana nguvu, wanakula vyakula vyenye virutubishi, ndio maana unaona wataliano kule Masaki akistafu huko ulya anahamia Tanzania anaoa mtoto m'bichi na anamsgua kisawasawa.
 
Na Mimi ndo hivyo hivyo.
Nakula vyakula vyenye virutubishi ninavyovijua mimi.ila sio ugali
WAzungu wana nguvu, wanakula vyakula vyenye virutubishi, ndio maana unaona wataliano kule Masaki akistafu huko ulya anahamia Tanzania anaoa mtoto m'bichi na anamsgua kisawasawa.
 
si kweli mkuu, huwezi pampu mara 80 bila kusimama, yaani in -out-in-out mara 80, huwezi, na huyu mkeo/mpenzi siku akikutana na wala ugali na ngogwe, mlenda na bamia aisee ataimba wimbo wa Taifa {Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote}
Sio kwamba hawezi sema wewe ndio huwezi
 
Sasa mbona umejijibu mwenyw😆😆Ndo maan jamaa kasema hamna mweny nguv za asili unachokula ndo nguv zako!
ila vijana waDar nawaonea huruma sana, yaani mi-chip yenu na juisi za miwa badala ya mtu kula miwa, oeni tu watoto wa Dar mana wa mkoani mtakuwa mnawahafua tu.

Mtu anapiga mwishowe anaota povu tu, hamna nguvu kabisa.
 
Nitafute uone sema huyu alikuwa kajaaliwa chini utundu woote nilichemka na Mimi ukizingatia ni mfikishaji kileleni hodari,Kuna mwanamke kaolewa lakin sms hazikauki ni mwanamke alidata na mechi mbaka akawa anatukana matusi,mbaka kesho nikionana Nate tu ananiambia tujikumbushie ingawa mke wa mtu
 
si kweli mkuu, huwezi pampu mara 80 bila kusimama, yaani in -out-in-out mara 80, huwezi, na huyu mkeo/mpenzi siku akikutana na wala ugali na ngogwe, mlenda na bamia aisee ataimba wimbo wa Taifa {Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote}
Hahahahaha mkuu tafadhali Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote sio wa wimbo wa Taifa
 
Hahahahaha mkuu tafadhali Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote sio wa wimbo wa Taifa
wimbo wa Nchi, asante kwa makerebisho.

but jitahidi kula chakula, ukipampu unapampu kweli, hata kama mmewasha AC mtu atoke kijasho cha pua kile chembamba .
 
Back
Top Bottom