Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Swadaktaaa?

Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.

Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.

Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
Na wewe mbona kaniambia eti una tabia ya kubustiwa kwanza na cha kati ndio usimame mkuu.hebu tolea ufafanuzi hili maana lina ukakasi
 
Hivi unajua kelele mpaka stimu zinakata, it's like mtoto kagoma kula au kuoga anaogeshwa kwa nguvu,
Kelele zikizidi sana inakuwa noise pollution

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Kuna miguno na makelele. Makelele yanakata stimu. Miguno huwa inatolewa kwa utaratibu na huwa inakuwa chini chini. Mtu anapiga mikelele kama msiba....
 
Ilikuwa pisi ya kuombea hata zamana kwenye kesi kubwa kubwa.. Toto ilikuwa ikicheka inamwanya.. lips denda,umbo namba nane.. nywele nyeusi tii halafu zake mwenyewe sio zile za kununua kwenye misaluni!.. na kale kasauti kake hakika nilidata komamanga la watu!.. ubovu ulikuwa anapandisha majini yanaongea kiarabu! Lamba mwiko wa watu nikaona isiwe tabu nikamuacha japo ilikuwa kwa mbinde maana na yale majini sijui yalinielewa!! Sijui Sana.

Ulitakiwa uwe unaweka mfupa wa Ktmotoo 🐷 🐷 kwenye pindo za suruwaliii na hata uvunguni mwa kitandaaa
 
Swadaktaaa?

Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.

Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.

Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
kwa ufupi baada ya kusoma viasa vya wadau,pisi kali shida nyingi ni
1.Mizinga
2.Mizinga
3.Mizinga
4.Kunuka papuchi/mdomo
5. Kujikojolea
6.Kuwa gogo
7.Kupiga makelele kama wauza utumbo
8.Kuwa na wengi
9. Kutoa tg
10.kupandisha mashetani na hatimae kung'ata/kujeruhi
11. Uswahili na kuwakakwa jambo dogo
12
13
.
.
.
.
.
 
Ilibidi nimteme tu. Nilimlia buyu nikawa sijib msg wala sipokei sim. Nikahamisha geto kabisa ....alituma msg za manung'uniko kwanini namtenda ila nilishindwa kumwambia tatizo lake. Ila dem alikua kanyooka na innocent mnoo

Tatizo linatibika hloo
 
Mtoto alikuwa mzuri Sanaa sema kuja kutest anabonge la uchi Mimi na utundu wangu nilijiona naelea ingawa nimeisha waliza hata majimama kwa utundu na dick yangu but kwa huyu Pi's nilichemka nilimkunja but naelea tu
Ndo maana wanasema ni bora kutest kabla hamjaoana...ndo hapo mshafunga na ndoa kabsa.....unaishia kuelea...compatibility ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom