Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mi ni mbunge.....Sawa mwalimu tumekuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ni mbunge.....Sawa mwalimu tumekuelewa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ahsee huu n uuaji kweny Data structure hapoMimi nimefanya interview kadhaa ila interview ambayo sitakaa niisahau ni ya Turing.
Turing ni kampuni ambayo huwa inajihusisha na kuwafaanyia vetting software engineers or developers then inawaunganisha na makapuni yanayohitaji watu wenye qualifications mfanano.
Sasa Mimi nilienda ile vetting process yote nilimaliza bila shida na baada ya kuisett profile yangu vizuri kwenye website yao nilikaa almost miezi sita then nikapata email ya interview ya kazi na kampuni fulani mnaijua wengi tu.
Interview niliambiwa nichague mwenyewe siku ya kufanya na kulikua na slot kadhaa za kuchagua kwenye ile kalenda yao so nikachagua siku na nilijipa wiki ili nijiandae kwaajiri ya hiyo interview.
So siku ya interview ilifika na nilichagua iwe usiku saa mbili basi nikaingia zangu room nikawasha laptop yangu nakutana na kanjibai ananisubiri.
Basi tukasalimiana pale then interview ikaanza, oyaa interview haikua oral wala haikua ya maswali ya abcd ila ilikua ni live coding na sio coding as a coding ilikua ni data structure na algorithms 😆😆😆😆
Kusema na ukweli sikuwa nimejipanga upande huo kwa maana job description niliisoma vizuri na walikua wanahitaji mtu wa reactjs lakini pia ambae anaweza kumanipulate data kwakutumia redux so nikasoma huo upande sana na nikaangalia interview zao zilizopita sana.
Ila yule Muhindi akawa amenitoa kwenye mchezo but swali la kwanza ilikua ni rahisi coz ni if else tu so nikalipiga shwaaaaa na yakabaki maswali mawili hapo ndio tukabaki tunaangaliana mimi na Muhindi.
Nakumbuka nimemaliza swali la kwanza dakika zikiwa zimebaki kama 25 hivi so kila muda ananihesabia namimi kila niliisoma swali nione natokea wapi holaaaaa, Google siwezi maana screen yangu yote anaiona nikabaki natype nafuta natype nafuta then narudi tena kwenye swali mwamba ananiangalia tu hana habari 😆😆😆😆.
Aisee mwili wote ulikufa ganzi wakuu kwa maana ni opportunity ambayo nilikua naisubiria kwa hamu na nilikua nimejipanga kweli kweli kupitia requirements zao ila nikawa nimesahau kwamba ukiwa vitani ukimuona adui hutakiwi kuchagua silaha, wewe weka tu hata kitofa cha kichwa na ndio alichonifanyia yule Muhindi sasa hadi muda ukaisha.
Akaniaga pale then akaniambia next time ukipata nafasi kubwa namna hii make sure unajiandaa vizuri na mchezo ukaishia hapo but the lesson was learned ingawa sitawahi isahau ile interview.
Hongera.... Ukonga oyeeee!Mi ni mbunge.....
Interview nyingi ukiona hivyo ujue umesha umiaMimi niliambiwa acha namba zako tutakupigia mpka Leo hola🤣🤣
Nilipomalizana nae ilibidi nicheze sana hayo maeneo.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ahsee huu n uuaji kweny Data structure hapo
Hii sio kweli, kuna taasisi private wako so organized.Usaili kibongo bongo asilimia kubwa wanachukua wale wanaowajua..
😂😂😂😂sitasahau nilifanya interview duce walah nilivotoka nilisema sitoboi mambo yalikuwa mazitoWakuu niaje....
Ni mimi hapa kijana wenu Trojan, leo nimeona nishare na nyie kuhusu interview hasa oral.
Ofcourse nimefanya oral interview nyingi sana ila kuna zingine niliboronga kabisa. Kuna wakati uoga unakuingia from no where, kuna wakati maswali ni magumu mno nk.
Je ushawahi fanya interview ukajua kabisa hapa huitwi kazini sababu umeboronga? Ilikuwaje? Share nasi.