Ulishawahi ingia lodge ukakutana na mke wa mtu naye katoka kuliwa?

QUOTE="cognition, post: 34900813, member: 341167"]
Kuna Mother alikuwa mke wa mtu, sasa mchepuko ukamuelekeza Guest House, Kufika pale akakuta kuna room imeshabukiwa ila haijalipiwa,Yule maza alikaa kama masaa manne yule mchepuko hakutokea, ile kupigiwa na yule jamaa wa mapokezi akadai amepata udhuru hawezi kuja. Msala ukawa kwa yule maza maana alishadanganya kwa Mme na hawezi rudi siku hiyo, kingine room anailipia nani? Bei ya room ilikuwa 35k

Mimi,nilikuwa nipo na jamaa zangu tumeenda kwenye huo mkoa kwa ajiri ya mafumzo/Semina so kuna mwana akaona goli hili akamgongea mlango yule maza kama kwenda kumpa ushauri, aisee masaa yakakata mwana yuko ndani ya room tukaogopa, ile kumgongea Mwana anatoka yuko kifua wazi,kumbe anajipoza kwa yuke Mama na wameshaku-baliana jinsi ya kulipia ile room. Inabidi uwe na roho ngumu kwenye inshu kama hii maana unaweza kutolewa malinda hivi hivi.
[/QUOTE]
Acha umbea mbona uliingiw wewe na jamaa yako tu.
 
I'd mpya unaandika ujinga mtupu hapa mambo ya katikati ya mapaja ya wake za watu yanakuathiri nini wewe?.

Kila siku hapa JF anajiunga kichaa mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndio kaahid kukupa kinyeo?
 
Unachomoa simu unapiga picha kwa siri afu utajua namna ya kuitumia.

Hii ni kwa makafiri tu (mimi sio mmoja wao)
 
ni hatari mwambie asirudie bora angemuhamisha huyo mother akamshughulikia ktk chumba chenu atajaliwa marinda kweli
 
Duu ukitolewa kinyeo unasema ni shetani kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…