Ndio mkuu,ana miaka miwili tangu aowe.Vipi naye ana mke? Halafu haya mambo huwa yanajilipa unaoa vizuri kumbe ni mzinzi hakuna mfano
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijwahi kuingia lodgeImenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!
Mgegede mkuu, usilaze damu😀Mmoja huwa ananiangalia kwa mashaka sana mpaka sasa
Tatizo lilikuwa nini!? Mmoja wao ulikuwa na uhusiano wa karibu sana!?Nilikutana na Mzee mmoja wa Kanisa akiwa na Mke wa Mtu tena naye ni Mzee wa Kanisa.Mimi hadi hamu ya kugegeda iliniishia siku hiyo.Dogo wa lodge alikula hela ya bure na hata demu niliyekuwa naye tuliagana kwa dharura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfanye awe rafiki yako mbona siku moja utafurah sanMmoja huwa ananiangalia kwa mashaka sana mpaka sasa
Nyani haoni kundule!Unawahukumu badala ya kujutia kwanza uharo wako... Watu wabaya sana.... Yaani ur pointing fingers to them while na wewe umeenda kufanya the same!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aanze kujipiga yeye mwenyewe.Unachomoa simu unapiga picha kwa siri afu utajua namna ya kuitumia.
Hii ni kwa makafiri tu (mimi sio mmoja wao)
Waumini watatu wa kanisa moja wakutana lodge kwa masuala ya ngono.Nilikutana na Mzee mmoja wa Kanisa akiwa na Mke wa Mtu tena naye ni Mzee wa Kanisa.Mimi hadi hamu ya kugegeda iliniishia siku hiyo.Dogo wa lodge alikula hela ya bure na hata demu niliyekuwa naye tuliagana kwa dharura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yy ndio kaoa mtoto wa huyo mama
Kama ni mzuri namwomba anipe utamKuna jamaa nilimskia yy alikutana guest na mama mkwe wake.Yan mama wa mke wake kakutana nae guest.
Exactly mkuuYy ndio kaoa mtoto wa huyo mama
Tatizo lilikuwa nini!? Mmoja wao ulikuwa na uhusiano wa karibu sana!?
Hahaha! Ndiyo hivyo tena ishatokea,Uzuri kuna chance ya kutubu kila wakati,,,au kuungama dhambi kila inapobidi.Waumini watatu wa kanisa moja wakutana lodge kwa masuala ya ngono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Mother alikuwa mke wa mtu, sasa mchepuko ukamuelekeza Guest House, Kufika pale akakuta kuna room imeshabukiwa ila haijalipiwa,Yule maza alikaa kama masaa manne yule mchepuko hakutokea, ile kupigiwa na yule jamaa wa mapokezi akadai amepata udhuru hawezi kuja. Msala ukawa kwa yule maza maana alishadanganya kwa Mme na hawezi rudi siku hiyo, kingine room anailipia nani? Bei ya room ilikuwa 35k
Mimi,nilikuwa nipo na jamaa zangu tumeenda kwenye huo mkoa kwa ajiri ya mafumzo/Semina so kuna mwana akaona goli hili akamgongea mlango yule maza kama kwenda kumpa ushauri, aisee masaa yakakata mwana yuko ndani ya room tukaogopa, ile kumgongea Mwana anatoka yuko kifua wazi,kumbe anajipoza kwa yuke Mama na wameshaku-baliana jinsi ya kulipia ile room. Inabidi uwe na roho ngumu kwenye inshu kama hii maana unaweza kutolewa malinda hivi hivi.