Ulishawahi jiuliza, hivi huyu ndo angekuwa mke wangu ningeishi nae vipi?

Ulishawahi jiuliza, hivi huyu ndo angekuwa mke wangu ningeishi nae vipi?

Unaambiwa hakuna mabwawa wala vibamia ni mawazo yetu tu

[emoji23][emoji23][emoji23] mfano tumekutana uwanja wa mapambano natoa nguo unaona cha mtoto utapata tena feeling na shahuku ulizo nazo [emoji23][emoji23][emoji23]?
 
Yaani suala la kuoa ni pana sana inafaa mtu utulize akili ujiulize kweli huyu ndo chaguo lako hususa me ilinitokea hii yaan nyegr zimenifanya nikae na mwanamke baadae ndo nagundua kuwa ana uwezo mdogo sana afu kila nayemwonyesha picha yake anadai mwanamke anasura ya baba yake ilinisumbua sana kisaikolojia kipindi naendelea kuwaza namna ya kumtema mara mimba accidentally aisee
So uko naye hadi sasa?.
Kwa uzoefu wangu wanawake wenye sura za kawaida ni wife matirio sana na wana mioyo mizuri sana na ni wazazi na walezi bora wa familia.

Hujawahi kudate pisi kali zinavyosumbua?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mfano tumekutana uwanja wa mapambano natoa nguo unaona cha mtoto utapata tena feeling na shahuku ulizo nazo [emoji23][emoji23][emoji23]?
[emoji1787] alafu ungejua mimi sipendi makitu makubwaa ila vibamia kweli vipo na havina mzuka kabisa.
 
KUOA NI KUPOTEZA MUDA NA KUCHEZEA PESA, EPUKA MATATIZO YA AFYA YA KIAKILI EPUKA KUOA🐒
 
Back
Top Bottom