Ulishawahi juta Mara baada ya Kutoa msaada?Tukutane hapa

Ulishawahi juta Mara baada ya Kutoa msaada?Tukutane hapa

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
Roho za huruma huangusha wengi, japo kwa imani tunaamini tenda wema malipo yaja. Nimewahi msaidia mtu, nikabaki kupigwa majungu na niliye msaidia.

Hiko hivi ni jamaa tunayejuana naye, siku alipohitajika na wakubwa kazini sikuwa karibu yake kwa kuonyesha kujali ikabidi niwaulize watu kadhaa kea atayeweza mwona wamtaarifu anione maana hapatikani then afanikishe anachotafutiwa.

Hakunitafuta Ila mwishoni nasikia za chinichini kuwa Huwa namfatilia na kumtangazia shida zake kwa watu.
Hivyo kafanya watu wake wa karibu kuniona mbaya kwa kosa nisiloliona.

Nimejifunza Maisha ya kutojali ni bora Sana kwa afya ya akili na usalama wako.
Nimesikitika Sana😭
 
Upendo uwe na kiasi. Usiwapende watu saaaana mpaka ikakuumiza na wewe.

Ukiwa na akibwa ya 150,000/= kisha ukamsaidia mtu 2,000 huo ni upendo wa kiasi, kuliko kumpa mtu hela yote alafu unaanza kunung'unika.

Usimpe mtu shati ilhali wewe unatembea kifua wazi.
 
Roho za huruma huangusha wengi, japo kwa imani tunaamini tenda wema malipo yaja. Nimewahi msaidia mtu, nikabaki kupigwa majungu na niliye msaidia.

Hiko hivi ni jamaa tunayejuana naye, siku alipohitajika na wakubwa kazini sikuwa karibu yake kwa kuonyesha kujali ikabidi niwaulize watu kadhaa kea atayeweza mwona wamtaarifu anione maana hapatikani then afanikishe anachotafutiwa.

Hakunitafuta Ila mwishoni nasikia za chinichini kuwa Huwa namfatilia na kumtangazia shida zake kwa watu.
Hivyo kafanya watu wake wa karibu kuniona mbaya kwa kosa nisiloliona.

Nimejifunza Maisha ya kutojali ni bora Sana kwa afya ya akili na usalama wako.
Nimesikitika Sana[emoji24]
Kumsaidia mswahili ni kujitafutia matatizo, hata kama ni ndgu yako kama wataka amani ya roho yako fanya wajibu wako tu achana na mswahili
 
Back
Top Bottom