Ulishawahi kufanyia mapenzi kwenye gari?

Ulishawahi kufanyia mapenzi kwenye gari?

Wakuu salama?

Acha niwahi kwa mada, nakumbuka mwaka jana December niligegeda mdada flan kwenye gari japo nilisema siji fanyia huu uchafu kwenye gari kwasababu ni kama kujitafutia mikosi na laana.

Ilikuaje? Siku hio tulitoka out na huyu dada sio dem wangu alikua rafiki sasa kumpeleka kwao mvua ikawa inanyesha si unajua madem hawa kuloana hawawezi akasema nisubir subir mvua iishe hapo tuko getini.

Mvua ndo ikawa inazid kuwa kubwa haiishi sijui hata ilikuaje ghafula tukaanza kashi kashi kwa fujo mara nimevua pichu ghafla nmelaza kiti ghafla nimeanza mgegedo baada ya wazungu kutoka ndo nikapata akili kuchek mvua imeanza kata dada akasepa chap hata mvua hakuogopa tena[emoji28][emoji28].

Nilijutia sana ila mpaka sasa sijawai fanya huu ujinga aseee nilitubu, ulishawai kutana na kisanga kama hiki? Ilikuaje??
Dada alikuwa rafiki, nime amini hakuna urafiki kati ya simba na swala
 
Naona kila mtu analalia upande wake

Eeeh ngoja na mimi nikaanzishe wetu wa

"ALIYEWAHI KUFANYA MAPENZI KWA MGUU TUPEANE UZOEFU"
 
Mkuu una experience sana [emoji119][emoji119]
Na starehe unapata kabisa na unakuwa na huru.

Kuna sehem tatu nne nazijua maeneo ya Sinza na Kinondon.
Na zinafahamika kabisa kwa ajili ya parking za namna hii.

Unampa mchongo Mlinzi akuangalizie Ishu.
(Anakulinda huku ww unamaliza kaz ndan ya gari)

Ukimaliza unamtoa na buku 2 au buku yake .nyie mnasepa zenu.

Ujana bana, aaagh!!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Na starehe unapata kabisa na unakuwa na huru.

Kuna sehem tatu nne nazijua maeneo ya Sinza na Kinondon.
Na zinafahamika kabisa kwa ajili ya parking za namna hii.

Unampa mchongo Mlinzi akuangalizie Ishu.
(Anakulinda huku ww unamaliza kaz ndan ya gari)

Ukimaliza unamtoa na buku 2 au buku yake .nyie mnasepa zenu.

Ujana bana, aaagh!!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

Noma sana, maisha ya ujana haya[emoji119]
 
Back
Top Bottom