Ulishawahi kufanyia mapenzi kwenye gari?

Ulishawahi kufanyia mapenzi kwenye gari?

Utakuwa wa kwanza kununua gari kwenye ukoo wenu, na mazindiko ya majini mliyofanya hayawezi kuruhusu gari itembee baada ya hapo
Mi ndio wa mwisho kaka zangu wote wana magari na wakati nazaliwa mimi baba na mama walikuwa kila mmoja ana gari lake
 
Wakuu salama?

Acha niwahi kwa mada, nakumbuka mwaka jana December niligegeda mdada flan kwenye gari japo nilisema siji fanyia huu uchafu kwenye gari kwasababu ni kama kujitafutia mikosi na laana.
Mimi nilishawahi kegeda pale katika parking za mlimani city.Bao mbili.Niliijutia sana ila mpaka sasa sijawahi fanya ujinga huu.Asee nilitubu pia
 
Back
Top Bottom