Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Khaaaa🙄🙄Umenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....ðŸ˜ðŸ˜ Nyau kabisaaa tena paka jeusi
Mbona cheap sana ni mtu wa aina gani huyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaa🙄🙄Umenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....ðŸ˜ðŸ˜ Nyau kabisaaa tena paka jeusi
Karucee tapeli anaweza kukutapeli hata hankerchief ilimradi tu ni tapelikhaaaa🙄🙄
mbona cheap sana ni mtu wa aina gani huyo?
😂😂😂Nilijua mi Njia Kuu, kumbe mimi ndo nilikua mchepuko.
Ilikuwaje?Umenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....ðŸ˜ðŸ˜ Nyau kabisaaa tena paka jeusi
😂😂😂Ameniambia yy ni mwanafunziawa chuo anasomea DIPLOMASIA chuo chao kipo uhamiaji 🤣🤣 sa sjui kweLi
Halafu usikute ulimuachia Pichu..😂Alitaka kunitapeli calculator yangu tulivoachana ,ila nilimpokonya nikaichukua.
Siamini huyu kama ni wewe! Anyway pole, utapeli ni Elimu, wengine wanazaliwa nayo, akishindwa kukutapeli wewe ataenda hata kwa Mama yake ili mradi tu iwe hivyo.Karucee tapeli anaweza kukutapeli hata hankerchief ilimradi tu ni tapeli
Savannah 2 = nyonyo 2alikunywa savanah zangu mbili nikaishia kushika nyonyo tena kwa kulazimisha mbwa escoco yule na meno yake kama ngiri
Huyo alifanyeje nipe story.Karucee tapeli anaweza kukutapeli hata hankerchief ilimradi tu ni tapeli
Hii comment imeniletea shida kwa mtu nilie mtag, kuna member hapa kaenda kumwambia kwamba mimi ushimeni nimeandika kwamba alinitapeli.Sakayo ebu ukuje mwali, maana umetoweka ghafla na hata sikuoni ukilike kama zamani...😕🙃
Ulete tujifunze mkuuNitakuwa wa mwisho kutoa ushuhuda wangu maana ni mzito sana
Lejendari kabisa ulipigwa?? 🤣 🤣Umenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....ðŸ˜ðŸ˜ Nyau kabisaaa tena paka jeusi