Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Sasa calculator unapokonya wakati wenzako wanatapeliwa nyumba, magari,pesa ndefu,miradi,nk.Alitaka kunitapeli calculator yangu tulivoachana ,ila nilimpokonya nikaichukua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa calculator unapokonya wakati wenzako wanatapeliwa nyumba, magari,pesa ndefu,miradi,nk.Alitaka kunitapeli calculator yangu tulivoachana ,ila nilimpokonya nikaichukua.
Nipe Namba yake ya Simu nimwambie kuwa alichokufanyia sio kizuri.Alikunywa savanah zangu mbili nikaishia kushika nyonyo tena kwa kulazimisha mbwa escoco yule na meno yake kama ngiri
Sasa uwezo wako unafananisha na mimi mkuu, ulitaka nimpokonye nyumba, gari wakati sikumpa?mimi nilimpa calculator na ndiyo niliyompokonya understood?Sasa calculator unapokonya wakati wenzako wanatapeliwa nyumba, magari,pesa ndefu,miradi,nk.
ID yako inakutambulisha km bonge la mtu mwenye pesa zake.Sasa uwezo wako unafananisha na mimi mkuu, ulitaka nimpokonye nyumba, gari wakati sikumpa?mimi nilimpa calculator na ndiyo niliyompokonya understood?
Usidanganyike na Id mkuu, wewe unavojiita hivo unamaanisha wewe ni mdudu kweli? Ebu nikopeshe hata buku 5 basi nipate dinner jioniID yako inakutambulisha km bonge la mtu mwenye pesa zake.
Fala sana huyo sasa imeishiaje mkuuNilikutana nae alinambia tayari anakijusi cha mwezi 1 na ana migogoro nae, ukaribu ukaribu nikapewa nikaweka.
Kwa huruma nikawa namsaidia saidia kumbe akili yake anifanye Mzee Abdul, nikaamka nikamwambia msaada wangu umeisha pataneni na mwenzio sitak kukulemaza ukaachana nae kabisa....
Akaenda kwao huko akarudi na kuniambia mimi ndio mwenye mtoto kuwa ile mwanzo alikuwa anajidhania kashika mimba kumbe ilikuwa hajashika kwa yule jamaa ila imeshika alivyonipa mimi, nikamwambia tu file kesi tukapime DNA akawa hataki.....