Sitosahau...
Ilikuwa chupuchupu nisitishe chuo na ujinga wa mapenzi
KISA KILIKUWA HIVI.
Wakati niko chuo mwaka wa 2 yeye akiwa mwaka wa 1, huyu manzi alifiwa na mlezi wake aliyekuwa anamfadhili masomo hivyo ikapelekea yeye kusitisha masomo mpka atakapopata ada.
Sasa akaniomba nimuongezee mtaji wa biashara kama 50,000 nkikampatia ila sikufatilia kama biashara alifanya au laa sababu nilijua ni jukumu langu pia nimpe privacy yake .
Sasa banaa nyie wadada sijui mnaingiaga michezo sijui vikoba ,sasa huyu bibie akazama huko afu akashindwa kulipa ,dakika za mwisho akanambia anadaiwa laki 5 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JUST IMAGINE LAKI 5 KICHUOCHUO NDEFU.......JMN
Wale waliomkopesha wakatishia kumkamata na kumweka ndani , na hapo niko semester ya pili nina ada kama laki 6 na ushee(ada nilikuwa nalipa kwa semester sababu ya kukosa uhakika wa kuvuka -kozi za ugumu mavi)
Kumbe banaa ni kamchezo nachezewaaaa[emoji23]
NILIGUNDUAJE?
Nilimuuliza kama ndugu zake wanasemaje kuhusu hilo ,eti oooh wamemsusa hvyo hana msaada zaidi yangu , lkn nikamwambia mimi nina ada tu mkononi na sina ziada, bibie akaniambia nimpe hyohyo atanilipa wakati huo chuo mimi deadlne ya malipo iko just around the corner.
Roho wa MUNGU akaniambia stukaaaaaa weweeeeee unapigwaaaa apaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikataa na mwishoni eti akanijibu hivi...
UMESHINDWA KUNISAIDIA WW KAMA MWANAUME WANGU HVYO NTAENDA KWA WANAUME WANAOWEZA KUNIHUDUMIAA NA KUNIJALIIII
Uandishi wa fundi ujenzi vumilieni