uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Tumegee jambo kasimulizi kafupi mkuu kuna mtu atajifunza jambo litakalomuokoa na fedhea. Ulipokosea wewe muepushe mwingine nae asikosee
Sawa mkuu ngoja nitulie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumegee jambo kasimulizi kafupi mkuu kuna mtu atajifunza jambo litakalomuokoa na fedhea. Ulipokosea wewe muepushe mwingine nae asikosee
Nimewala baadhi enzi niko UDBS pale chini sio wakavu utapiga mpaka uchoke utelezi kama wote, uzuri wa sura na umbo hawajambo. Shida yao wanapenda maisha classic sana ndio maana wanakuwa na vitabia vya umalaya umalayaMkuu acha kabisa, tupe uzoefu wako na hawa mabinamu wa PK
Aise kua makini wakati mwingine, pia hongera kwa kua na uwezo wa kuwasiliana, ungekua hauna uwezo wa kuwasiliana kwa ufasaha siku hiyo hakika ungepata aibu kubwa.Mimi nililewa kwenye sherehe. Nilikula koka na konyagi ilikuwa aibu kubwasana. Halafu mfukoni sikuwa na pesa kabisa. Na sikwenda na ndugu. Ila kuna mtu alinilipia boda boda akanipeleka baada ya kunihoji wapi naishi. Ishukuriwe niliweza kuongea.
Tarehe za kodi hizi mkuuHii ni aibu? Kutokujua batan ya ku flash iko wapi?
Tarehe za kodi hizi mkuu
hilo la vitabia vya umalaya ni kweli kabisa na umalaya wao sio wa chips kuku ni umalaya wa dau refuNimewala baadhi enzi niko UDBS pale chini sio wakavu utapiga mpaka uchoke utelezi kama wote, uzuri wa sura na umbo hawajambo. Shida yao wanapenda maisha classic sana ndio maana wanakuwa na vitabia vya umalaya umalaya
Aise kua makini wakati mwingine, pia hongera kwa kua na uwezo wa kuwasiliana, ungekua hauna uwezo wa kuwasiliana kwa ufasaha siku hiyo hakika ungepata aibu kubwa.
Nzuri hio kunradhi kitumbua si andaziKumradhi, umeweka n badala ya M
Vitu vingine sio vya kuulizaNimeuliza tu, maana kwa ufaham wangu button zinakaa sehemu tofauti na kama hujui si unauliza?
Tehe he heeNimezama toilet Moja nikiwa safari , kumbe aliyetangulia katumia afu hakuflash , nafikiri alitumia bila kukagua maji, anamaliza maji yamekata, Akaamua kutoka,,,mi huyo nakuta Ile Hali kwenye sink ,nikaamua nistumie mana nna kinyaa, natoka nakutana na mdada mzuri anaingia dizain kabanwa, daaaa ,moyo wangu ulishuka sanasana......niliondoka Hilo eneo haraka,nakumbuka nilivoingia kwenye basi nilibadiri t-shirt nilokuwa nmevaa afu nikawa sirious
Ulivyojikagua upo back side usalama ulikuwepo?.Mimi nililewa kwenye sherehe. Nilikula koka na konyagi ilikuwa aibu kubwasana. Halafu mfukoni sikuwa na pesa kabisa. Na sikwenda na ndugu. Ila kuna mtu alinilipia boda boda akanipeleka baada ya kunihoji wapi naishi. Ishukuriwe niliweza kuongea.
PK tall hana mchezo.
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji1787]Nimezama toilet Moja nikiwa safari , kumbe aliyetangulia katumia afu hakuflash , nafikiri alitumia bila kukagua maji, anamaliza maji yamekata, Akaamua kutoka,,,mi huyo nakuta Ile Hali kwenye sink ,nikaamua nistumie mana nna kinyaa, natoka nakutana na mdada mzuri anaingia dizain kabanwa, daaaa ,moyo wangu ulishuka sanasana......niliondoka Hilo eneo haraka,nakumbuka nilivoingia kwenye basi nilibadiri t-shirt nilokuwa nmevaa afu nikawa sirious