Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Yule dada alikua ni mzuri acheni, amekula sana pesa zangu mwisho tulipoteana na sikuambulia hata busu.Afu alikua anajichukulia matawi sana.

Juzi hapa nimekutana nae, aisee kachoka "kumbe watu wanachoka sana"
Vyote alivyokula ki ukweli nimemsamehe. Mana hata sion cha kujilipa zaidi ya kuchukua mikosi.
 
Yule dada alikua ni mzuri acheni, amekula sana pesa zangu mwisho tulipoteana na sikuambulia hata busu.Afu alikua anajichukulia matawi sana.

Juzi hapa nimekutana nae, aisee kachoka "kumbe watu wanachoka sana"
Vyote alivyokula ki ukweli nimemsamehe. Mana hata sion cha kujilipa zaidi ya kuchukua mikosi.
[emoji28][emoji28]
Jamani
 
Daa mkuu hiyo ni ndogo kuna watu wanahonga mpaka million halafu wanaambulia patupu ,halafu staili ya mademu wa aina hii ukishawatongoza kabla hajatoa jibu utasika ,naomba nikopeshe hela nitakuludishia ,ukimpa tu papachu huli na pesa hulipwi.
dadeki
 
Yule dada alikua ni mzuri acheni, amekula sana pesa zangu mwisho tulipoteana na sikuambulia hata busu.Afu alikua anajichukulia matawi sana.

Juzi hapa nimekutana nae, aisee kachoka "kumbe watu wanachoka sana"
Vyote alivyokula ki ukweli nimemsamehe. Mana hata sion cha kujilipa zaidi ya kuchukua mikosi.
Itakuwa alikuwa muhayaa.. Nilipata manzi ya kihayaa inapenda matunzo ***** ila mchongo haitaki toa aisee mbona nikaimwaga fasta tuu japo kaumbika ila ufala huo sinagaaa...
 
MREJESHO

[emoji1][emoji1] Deal done, huyu binti nmemla Jana,

Kilichotokea ni kuwa toka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kufuma text ikabidi nmpotezee tu, basi mwezi wa tano ule akawa ananitext mm najibu short tu, akakata tamaa, akawa tena anakaa ananitext mara ananzingua nimtumie hela namjibu tu short"sina pesa" hakuwah ilamb a hela yangu toka January!

Wiki iliyopita akantafuta nikamwambia twende sehemu, tukaenda kipub cha kizushi tukaanza kupiga vyombo[emoji16][emoji16], kama kawaida ake akaanz ooh nihonge 15k,nikamuambia hapa kunywa utakunywa hata ukitaka kubeba ila sh. Kumi yangu hutopata[emoji16][emoji16], tukamaliza akarudi kwao.
Jana nipo zangu kwangu naona text yake "upo kwako nataka nije niandalie bia zangu" Saa moja huyu hapa "[emoji4][emoji4]kavaa kidude mipaja yote nje!!
Piga gambe piga gambe saa nne mwenyew kavua nguo kapata kitandani kanambia njoo uchukue baba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Basi nkajilia vyangu mie,
Ila ulikuta break puhmhmbu sio? [emoji16][emoji16]
 
Ila ulikuta break puhmhmbu sio? [emoji16][emoji16]
[emoji1][emoji1]Mnato mzee baba, nachojilaumu sikua na zana za wa Congo yani nngechakaza kweli kweli!! Sema nn na jana kaileta imechakazwa, yani kila nikiichakaza nawaza hela zangu alizokula huyu kunguni
 
[emoji1][emoji1]Mnato mzee baba, nachojilaumu sikua na zana za wa Congo yani nngechakaza kweli kweli!! Sema nn na jana kaileta imechakazwa, yani kila nikiichakaza nawaza hela zangu alizokula huyu kunguni
Ungempakia mkongo akasimulie [emoji1787][emoji1787]
 
Manzi mmoja nilikutana nae manyara huko

To make the long story short
Nilimpenda Sana
Nilimnunulia sim awamu tatu mara ya kwanza nilimpa Tecno W3 yangu time ndio zimetoka akaharibu nikampa Samsung J1 yangu akaharibu nikampa iPhone 6 full boxed na zawadi kedekede mbali na hayo kuna hizi 25k 30k 40k mwisho wa siku sikula papuchi

Manzi badae nikagundua ana wasela kama wote hivi halafu akawa ananifanyia nyodo za kifala

Mengine sitaandika hapa code itafunguka itoshe kusema ilikua ngumu kumuacha alinigeuza kitega uchumi ilifik time nikachoka tu nikapata na mtu mwingine na yeye akamjua kupitia status mpaka leo anabembeleza nirudiane nae na sina time na mahusiano naye Ila shida yangu ni papuchi na yeye bado anabana

Ila ipo siku nitabandua hofu yangu ni kwamba naweza jirudisha nikapigwa hela na papuchi nisipate
Anabembeleza mrudiane? Mbona simple mwambie alete mzigo nje ya hapo aishie huko
 
Dah...
Kuna mchumba mmoja mkali nlipata mitaa ya Kusini pale Masasi nikiwa kikazi bhanaa.
Yule mtoto alikuwa ananipa show hatariii.
Nlimuita zuchu Age 19 hivi.
Dah...Mamserenger nikapata mchongo wa ela ndef bila kutegemea

Nlienda Town nika nunua Geto zima ika nikost kama M 5 kasoro lengo nijilie mbunye huku napikiwa fresh na kulala pazuri dah...

Siku ya pili tuu nikapata uhamisho kwenda Mwanzaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24].

Dah asaivi nimebaki nakula na vdeo call tuu za wasap na lala zanguuuu[emoji17][emoji17][emoji17]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ilitokea bar moja inaitwa Shentemba maeneo ya Ihumwa Dodoma manzi mmoja alikula bia zangu 4 halafu akataka kuruka mtego ila nilimletea dhoruba mpaka akazirudisha.
Ila baada ya siku 3 alinipigia mwenyewe na kuniletea papuchi bila malipo yoyote zaidi ya kumlipia nauli ya boda tu.
 
Dah...
Kuna mchumba mmoja mkali nlipata mitaa ya Kusini pale Masasi nikiwa kikazi bhanaa.
Yule mtoto alikuwa ananipa show hatariii.
Nlimuita zuchu Age 19 hivi.
Dah...Mamserenger nikapata mchongo wa ela ndef bila kutegemea

Nlienda Town nika nunua Geto zima ika nikost kama M 5 kasoro lengo nijilie mbunye huku napikiwa fresh na kulala pazuri dah...

Siku ya pili tuu nikapata uhamisho kwenda Mwanzaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24].

Dah asaivi nimebaki nakula na vdeo call tuu za wasap na lala zanguuuu[emoji17][emoji17][emoji17]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ukamsusia geto zima
 
Yule dada alikua ni mzuri acheni, amekula sana pesa zangu mwisho tulipoteana na sikuambulia hata busu.Afu alikua anajichukulia matawi sana.

Juzi hapa nimekutana nae, aisee kachoka "kumbe watu wanachoka sana"
Vyote alivyokula ki ukweli nimemsamehe. Mana hata sion cha kujilipa zaidi ya kuchukua mikosi.
[emoji16]
 
Mm kunae litakataka la huk huo kijiji linae mavi ya kufa mtu nkalipanga tumeet sehemu after beer mbili 3 tukabanduane

Mm nkawah eneo la tukio nkaaguza k can't ndogo ndani ya dk 20 huyu apa akanikuta bado nipo nacho kale ka k vant

Nkamuuliza unakunywa nn nae akasema k vant nkamuambia kama vp tuagize kubwa tuile wote

Aiseee pale alimeza k vant kubwa moja na kadogo + kitmoto kilo moja na akakimbia niliishia kuliwa denda tu

Nilipoteza kama 56k daa iliniuma mbaya asubh nkaenda kukopa supu ya utumbo kwa mama dulla kupooza maini
[emoji23]
 
Back
Top Bottom