Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Last weekend ilikuwaa ijumaaa ileee nilikutana na katoto kamojaa ivii ka uswazi ila kasafi kazur tu nikachukua namba pale kila mtu akaendelea na safar zake

Muda kidog nikaa mtxt nikampa mualiko wa Outin muda huo huo tutoke maana ilikuwa ijumaa akachomoa kwamb ndo anarud nyumbani hawez toka mpka kesho labda

Jmos usiku kweli nikashtua akadai nitume nauli nikatuma bas akaja tukaingiq kiwanja pale agiz vinywaj mixer kitimoto safi mida ya kuondok nikabeba mzigo wangu mpka geto asee katoto kadogo ila mambo yake makubwa hatar sanaa

Sasa bahat mbya kesho yake nilikuwa naingia job sikufaid sanaa nikakachia mapema tu

Sasa kuanzia hapo asee kashanipig mizinga kibao mixer kula nauli ila geto haji na mimi sikomi kutuma maana nikikumbuka yale mambo yake najipa moyo katakuja nikiwa off nikapige ile mwana ukome afu nikapotezee
Mkuu mtoto huyo mpotezee atakumalizia note na wala hatokei ..keshaona udhaifu mkubwa kwako
 
Hii ni Janga la wanaume wote...kuna kidemu nlikua nakisalandia kilikua kikazi Arusha kikaaambiwa kikitoka kipitie Tanga ndo kirudi Dar kikanipigia kinalalamika hakina ht hela ya hotel na its weekend...nikajitumua nikakitumia hela ya siku 2 km 200k kwa makubaliano kikitoka huko kitakuja straight magetoni....sijawahi ht ona sura ya papuchi yake, now kinanipa swaga za kina mtu wake...
Ila now nishakua mjanja....natoa ahadi then nazima cm au namlima block.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3] mkuu kweli imekua mjanja
 
Mm Kuna pisi niliisarandia miez kadhaa ikawa inazingua Sana bahat mbaya tulikuwa mbal mbal kidogo ,Sasa bwana demu akaanza vizinga vyake kunipima iman ,Mara ya Kwanza akaniomba 50k bila hiyana nikatuma ,bas tokea hapo akajua zipo za bure bure ,Mara 10k natuma 15k natuma ,Sasa bahat nzur nikapata kirikizo nikarud kitaa kwetu ,nikampa taarifa kuwa nipo home maana nae Ni wa kitaa kwetu sema wote tulikuwa mbal mbal ,basi bwana akadai nimtumie naul ili nae aje kitaa tuweze kujinafasi Zaid ,mwanaume nikatoboka Kama kawaida,na kweli alitokea kitaa hakudanganya.

Sasa mziki akaanza kunipiga chenga kila nikimuomba mzigo sabab kibao Mara anakosa muda ,ila offer za kitimoto anatokea fresh tu ,nikaona huyu anataka kuniona boya ,niliamua kumkaushia Kama siku nne akipiga sipokei Wala sms sijib ,akaanza kujishtukia sms kibao sorry km nimekuudhi nikakausha tu, wakat huo huo nikaanza harakat za kumtokea mdogo wake wa kike ila sio tumbo moja Ni mtoto wa mjomba ake na hawakai nyumba moja ,bahat nzur kale kabint kakanielewa alaf kalikuwa kazur kumzid yeye ,sema yeye alikuwa na difu moja matata kumzid mdogo wake ,nikala kale kadem bila kutumia nguvu yaan kirain Sana ,Sasa dada mtu akasikia kuwa namla mdogo wake ,kwann asubuh na mapema asinifuate mageton nilikokuwa napoa na mshakaj wangu.

Basi asubuh na mapema Sana mtu anagonga mlango kufungua Ni fulan yaan kavimba balaa ,akaanza kulia mule room kuwa kwann umetoka na mdogo wang nikampa sabab akawaka Sana ,jamaa ninaelala nae ikabid atuache yeye asepe ,full kumaind nikamwambia yote haya umesababisha wewe na ukizingatia mm sipend dharau yaan nimekuleta had kitaa kwa naul yangu alaf uanze kuniringia ,akawa mpole na kuanza kuniplz nisirudie kulala na mdogo wake ,hapo hapo akanirukia kwa hasira aiseee yaaan ilipigwa mechi moja ya kibabe[emoji23][emoji23] Sana ile asubuh had sio poa.

Akasepa moja kwa moja kwa yule bint full kumpiga mikwara kibao ,yule mdogo wake akanisms kila kitu lakin akadai hawez kuachana na mm ,basi jion akarud Tena yule dada mtu ilipigwa mechi heavy Sana had nikahis kutapika ile siku ,basi mwendo ukawa Ni huo huo tu nikihitaj napewa pia mdogo mtu akawa anapewa show ya kificho .

Kilichofanya niandike haya Ni hiki ,yule manz akawa ameiva balaa Sasa yaan haongei kitu kwangu plus mdogo mtu ,rikizo ikaisha nikarud job kwangu nae akarud kwenye mishe mishe zake ,huku na huku nikampiga kizinga nae maana si nilijua Hana ujeur Tena na Zaid mm akil ilikuwa kwa mdogo mtu tu ,nikamwazima laki 5 haikuchukua masaa meng sms ikaingia ya muamala nikatoa ,nikabakiza 53k ambayo nikamtumia mdogo mtu kuwa anunue chochote[emoji23][emoji23] imeenda weee akaanza kudai nilimwambia Sina na siwez ipata leo Wala kesho ,aiseee alitukana matus ya dunia nzima full vitisho ,nam nikamchana kuwa piga hesab umekula hela zangu ngap basi tokea hapo alinichukia yule dem kwa muda mref Sana ,na mm nikakomaa na mdogo mtu had leo nikirud kitaa najipigia tu mdogo mtu kiroho saf ,sema dada mtu majuz naona kanichek fb messanger kanipa hi huku anacheka tu sijamjib chochote.

So mm Dem akila hela yangu huwa nakuja irudisha kivingine hata muda upite vipi hakuna demu wa kula pesa yangu kizembe ,yaan ntakuwa fala ila ntahakikisha k nimekula na pesa yangu imerud.
 
Mbona kawaida sana!nilihonga miezi sita na simu nikamnunulia ila hata kiss sikuambulia!kila ukimgusia maswala ya papuchi ananuna anasema nina haraka sana!ilikua kila siku lazima nmnunulie kitimoto,kila wiki kusuka!hapo bado kumtoa out kila weekend na hata kiss sikupata[emoji28][emoji28],
Siku nikakuta message kwenye simu ake "bby una dick kubwa sana hapa k yote inawaka moto!
Hyo ndo siku niliyoamua kuachana naye rasmi
MREJESHO

[emoji1][emoji1] Deal done, huyu binti nmemla Jana,

Kilichotokea ni kuwa toka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kufuma text ikabidi nmpotezee tu, basi mwezi wa tano ule akawa ananitext mm najibu short tu, akakata tamaa, akawa tena anakaa ananitext mara ananzingua nimtumie hela namjibu tu short"sina pesa" hakuwah ilamb a hela yangu toka January!

Wiki iliyopita akantafuta nikamwambia twende sehemu, tukaenda kipub cha kizushi tukaanza kupiga vyombo[emoji16][emoji16], kama kawaida ake akaanz ooh nihonge 15k,nikamuambia hapa kunywa utakunywa hata ukitaka kubeba ila sh. Kumi yangu hutopata[emoji16][emoji16], tukamaliza akarudi kwao.
Jana nipo zangu kwangu naona text yake "upo kwako nataka nije niandalie bia zangu" Saa moja huyu hapa "[emoji4][emoji4]kavaa kidude mipaja yote nje!!
Piga gambe piga gambe saa nne mwenyew kavua nguo kapata kitandani kanambia njoo uchukue baba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Basi nkajilia vyangu mie,
 
Wanaume wenzangu hivi Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia ata papuchi?


Na kwa mademu je ulishawahi kuhongwa bila kutoa Papuchi?

Binafsi tayari na sio mara moja ila now ukiniomba hela lazima nikupe location ya kuja kuchukua haichezi mbali na gheto au gest kanuni yangu huwa situmi hela kwenye simu kama sijawahi kukulamba.
yes after call she cut phone
 
Wanaume wenzangu hivi Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia ata papuchi?


Na kwa mademu je ulishawahi kuhongwa bila kutoa Papuchi?

Binafsi tayari na sio mara moja ila now ukiniomba hela lazima nikupe location ya kuja kuchukua haichezi mbali na gheto au gest kanuni yangu huwa situmi hela kwenye simu kama sijawahi kukulamba.
Kawaida
 
Back
Top Bottom