Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Nimegegeda. Hela hajataka sahivi amesema ametoroka tu, kwanza mvua ilinyesha leo tulienda kupata lunch mahala afu tukazama ndani. Hela aliyotumia ni msosi (hatuko walevi), nauli na vizawadi nilivompatia.
Safi kijana..hopefully ilikuwa safe sex.
 
Kawaida sana...kumpa mwanamke pesa ni kitu cha kawaida...haina uhusiano na kupewa k...normal...take things easy boys...
 
Kawaida sana...kumpa mwanamke pesa ni kitu cha kawaida...haina uhusiano na kupewa k...normal...take things easy boys...
Inategemeana na lengo lako.
Kuna ile unatoa kama sadaka kwamba ngoja nimpe tu(hii huwa ni mara chache sana kutokea)
Hii nyingine unampa kwa malengo fulan na yeye anajua then lengo halitimii lazim upigwe shoti ya umem wa moyo
 
mimi kuna mmoja nilimuulewa sana, nikawa nataka niende kujitambulisha kwao maana alinambia hana mtu, basi nikaona nisiharakishe kuomba mzigo, nikamnunulia ki smart phone baadae nakuja pata taarifa kumbe ana jamaa mwengine ambae kashajitambulisha kwao, harafu nimemnunulia simu kama siku mbili zilizopita,nikamfuata kiustaarabu anipe simu yangu aendelee na jamaa yake, heeh demu kanigeuzia kibao eti sijawahi kumpa simu na wala hanijui mbele ya mama yake mdogo, bahati nzuri kuna madogo zake wananielewa sana wakanitonya kuwa simu anayo kaificha chini ya godoro, hapo jirani kuna jamaa yangu ni askari polisi nikamchek nikamuelezea story nzima, akanambia hiyo kazi ndogo, alimbana demu kuwa huo ni utapeli kama na kama akiingia ndani kui tafuta na akiipata basi atamtia pingu, demu mwenye akazama ndani akaitoa,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sana kamanda hawa mademu shenzi sana anataka kujimilikisha simu ataki kutoa kitumbua
 
Last weekend ilikuwaa ijumaaa ileee nilikutana na katoto kamojaa ivii ka uswazi ila kasafi kazur tu nikachukua namba pale kila mtu akaendelea na safar zake

Muda kidog nikaa mtxt nikampa mualiko wa Outin muda huo huo tutoke maana ilikuwa ijumaa akachomoa kwamb ndo anarud nyumbani hawez toka mpka kesho labda

Jmos usiku kweli nikashtua akadai nitume nauli nikatuma bas akaja tukaingiq kiwanja pale agiz vinywaj mixer kitimoto safi mida ya kuondok nikabeba mzigo wangu mpka geto asee katoto kadogo ila mambo yake makubwa hatar sanaa

Sasa bahat mbya kesho yake nilikuwa naingia job sikufaid sanaa nikakachia mapema tu

Sasa kuanzia hapo asee kashanipig mizinga kibao mixer kula nauli ila geto haji na mimi sikomi kutuma maana nikikumbuka yale mambo yake najipa moyo katakuja nikiwa off nikapige ile mwana ukome afu nikapotezee
 
Last weekend ilikuwaa ijumaaa ileee nilikutana na katoto kamojaa ivii ka uswazi ila kasafi kazur tu nikachukua namba pale kila mtu akaendelea na safar zake

Muda kidog nikaa mtxt nikampa mualiko wa Outin muda huo huo tutoke maana ilikuwa ijumaa akachomoa kwamb ndo anarud nyumbani hawez toka mpka kesho labda

Jmos usiku kweli nikashtua akadai nitume nauli nikatuma bas akaja tukaingiq kiwanja pale agiz vinywaj mixer kitimoto safi mida ya kuondok nikabeba mzigo wangu mpka geto asee katoto kadogo ila mambo yake makubwa hatar sanaa

Sasa bahat mbya kesho yake nilikuwa naingia job sikufaid sanaa nikakachia mapema tu

Sasa kuanzia hapo asee kashanipig mizinga kibao mixer kula nauli ila geto haji na mimi sikomi kutuma maana nikikumbuka yale mambo yake najipa moyo katakuja nikiwa off nikapige ile mwana ukome afu nikapotezee
Aisee
 
Back
Top Bottom