ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Tatizo hua kwenye vikao hamutokei hili swala tumeshapiga marufukuJana tu nimetuma nauli hajatokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hua kwenye vikao hamutokei hili swala tumeshapiga marufukuJana tu nimetuma nauli hajatokea
Safi kijana..hopefully ilikuwa safe sex.Nimegegeda. Hela hajataka sahivi amesema ametoroka tu, kwanza mvua ilinyesha leo tulienda kupata lunch mahala afu tukazama ndani. Hela aliyotumia ni msosi (hatuko walevi), nauli na vizawadi nilivompatia.
Rough rider[emoji111]Safi kijana..hopefully ilikuwa safe sex.
Hivi vocha na luku sio pesa..?Tamaa zangu za haraka ila alipanga kunipa wiki ijayo hii ya leo naforce. Ila sijawahi mpa hela yoyote aliyoomba labda vocha na luku
Inategemeana na lengo lako.Kawaida sana...kumpa mwanamke pesa ni kitu cha kawaida...haina uhusiano na kupewa k...normal...take things easy boys...
[emoji16] angalau muwe mnatukumbuka piaMawifi tulieni kwanza watu wahonge warembo hahhahahahhaha
Nyie mtkumbukwa na mashemeji zetu aiseeee😀[emoji16] angalau muwe mnatukumbuka pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sana kamanda hawa mademu shenzi sana anataka kujimilikisha simu ataki kutoa kitumbuamimi kuna mmoja nilimuulewa sana, nikawa nataka niende kujitambulisha kwao maana alinambia hana mtu, basi nikaona nisiharakishe kuomba mzigo, nikamnunulia ki smart phone baadae nakuja pata taarifa kumbe ana jamaa mwengine ambae kashajitambulisha kwao, harafu nimemnunulia simu kama siku mbili zilizopita,nikamfuata kiustaarabu anipe simu yangu aendelee na jamaa yake, heeh demu kanigeuzia kibao eti sijawahi kumpa simu na wala hanijui mbele ya mama yake mdogo, bahati nzuri kuna madogo zake wananielewa sana wakanitonya kuwa simu anayo kaificha chini ya godoro, hapo jirani kuna jamaa yangu ni askari polisi nikamchek nikamuelezea story nzima, akanambia hiyo kazi ndogo, alimbana demu kuwa huo ni utapeli kama na kama akiingia ndani kui tafuta na akiipata basi atamtia pingu, demu mwenye akazama ndani akaitoa,
Kala laki tatu alafu hakutaka kusasambua mbususu yako? Ama nimeelewa vibayaMsifikiri na sie hatupigwi ila tuna umia kimya kimya kuna men kala laki 3 [emoji24]
Haaaaaah haaaaaahKala laki tatu alafu hakutaka kusasambua mbususu yako? Ama nimeelewa vibaya
Cm hapokei sms hajibuKala laki tatu alafu hakutaka kusasambua mbususu yako? Ama nimeelewa vibaya
Duh...kwa hiyo sasa wee ndio ulikuwa unahonga ili akugegede🤔🤔🤔🤔Cm hapokei sms hajibu
[emoji24][emoji24][emoji24]Duh...kwa hiyo sasa wee ndio ulikuwa unahonga ili akugegede[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
AiseeLast weekend ilikuwaa ijumaaa ileee nilikutana na katoto kamojaa ivii ka uswazi ila kasafi kazur tu nikachukua namba pale kila mtu akaendelea na safar zake
Muda kidog nikaa mtxt nikampa mualiko wa Outin muda huo huo tutoke maana ilikuwa ijumaa akachomoa kwamb ndo anarud nyumbani hawez toka mpka kesho labda
Jmos usiku kweli nikashtua akadai nitume nauli nikatuma bas akaja tukaingiq kiwanja pale agiz vinywaj mixer kitimoto safi mida ya kuondok nikabeba mzigo wangu mpka geto asee katoto kadogo ila mambo yake makubwa hatar sanaa
Sasa bahat mbya kesho yake nilikuwa naingia job sikufaid sanaa nikakachia mapema tu
Sasa kuanzia hapo asee kashanipig mizinga kibao mixer kula nauli ila geto haji na mimi sikomi kutuma maana nikikumbuka yale mambo yake najipa moyo katakuja nikiwa off nikapige ile mwana ukome afu nikapotezee
Unaanza mchunguza dada ako vya ndani Sasa[emoji16]Nyie mtkumbukwa na mashemeji zetu aiseeee[emoji3]
Au dada wewe shemeji ulishamleteaga ujeuri???