Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Hahahaahhaahahah!Unaanza mchunguza dada ako vya ndani Sasa[emoji16]
Mwisho uulize na Styles [emoji1362]
Bahati yako nimevurugwa lakini ningekujibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaahhaahahah!Unaanza mchunguza dada ako vya ndani Sasa[emoji16]
Mwisho uulize na Styles [emoji1362]
Mkuu mtoto huyo mpotezee atakumalizia note na wala hatokei ..keshaona udhaifu mkubwa kwakoLast weekend ilikuwaa ijumaaa ileee nilikutana na katoto kamojaa ivii ka uswazi ila kasafi kazur tu nikachukua namba pale kila mtu akaendelea na safar zake
Muda kidog nikaa mtxt nikampa mualiko wa Outin muda huo huo tutoke maana ilikuwa ijumaa akachomoa kwamb ndo anarud nyumbani hawez toka mpka kesho labda
Jmos usiku kweli nikashtua akadai nitume nauli nikatuma bas akaja tukaingiq kiwanja pale agiz vinywaj mixer kitimoto safi mida ya kuondok nikabeba mzigo wangu mpka geto asee katoto kadogo ila mambo yake makubwa hatar sanaa
Sasa bahat mbya kesho yake nilikuwa naingia job sikufaid sanaa nikakachia mapema tu
Sasa kuanzia hapo asee kashanipig mizinga kibao mixer kula nauli ila geto haji na mimi sikomi kutuma maana nikikumbuka yale mambo yake najipa moyo katakuja nikiwa off nikapige ile mwana ukome afu nikapotezee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha waendelee kupigwaTatizo hua kwenye vikao hamutokei hili swala tumeshapiga marufuku
Utalii wa ndani...kwa kutumia channel gani mkuu, Nat Geo ama Tz Safari Channel?[emoji849]Sana tu,ila kwa sasa labda akatambike ndio nimpe pesa kabla ya kunipa K,zaidi ili nitoe mpunga japo nifanye utalii wa mkono niitathimini,hapo nitahonga
Mkubwa hapo pakimbie ashakuona fala ...ila mkuu twende mbele turudi nyuma watoto wakali bila pesa ...ni ngumu mnoo kupata papuchiKuna demu kasha nilamba 50K mpka sasa sioni dalili za kupewa uchi nipo njia panda nendelee kutoboka au niachane nae
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3] mkuu kweli imekua mjanjaHii ni Janga la wanaume wote...kuna kidemu nlikua nakisalandia kilikua kikazi Arusha kikaaambiwa kikitoka kipitie Tanga ndo kirudi Dar kikanipigia kinalalamika hakina ht hela ya hotel na its weekend...nikajitumua nikakitumia hela ya siku 2 km 200k kwa makubaliano kikitoka huko kitakuja straight magetoni....sijawahi ht ona sura ya papuchi yake, now kinanipa swaga za kina mtu wake...
Ila now nishakua mjanja....natoa ahadi then nazima cm au namlima block.
Mbona kunawanaotoa papuchi bila kupewa hata mia ....au ndiyo kuliwa kimasiharaMkubwa hapo pakimbie ashakuona fala ...ila mkuu twende mbele turudi nyuma watoto wakali bila pesa ...ni ngumu mnoo kupata papuchi
Huo mvurugo wa kuliwa nauli sio[emoji16][emoji1694]Hahahaahhaahahah!
Bahati yako nimevurugwa lakini ningekujibu
At least finger crossed.Huo mvurugo wa kuliwa nauli sio[emoji16][emoji1694]
Kichwaa we[emoji16]At least finger crossed.
Umekaa kama mla nauli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaahahaha. Jamani sikumaanisha wewe mla nauliKichwaa we[emoji16]
MREJESHOMbona kawaida sana!nilihonga miezi sita na simu nikamnunulia ila hata kiss sikuambulia!kila ukimgusia maswala ya papuchi ananuna anasema nina haraka sana!ilikua kila siku lazima nmnunulie kitimoto,kila wiki kusuka!hapo bado kumtoa out kila weekend na hata kiss sikupata[emoji28][emoji28],
Siku nikakuta message kwenye simu ake "bby una dick kubwa sana hapa k yote inawaka moto!
Hyo ndo siku niliyoamua kuachana naye rasmi
yes after call she cut phoneWanaume wenzangu hivi Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia ata papuchi?
Na kwa mademu je ulishawahi kuhongwa bila kutoa Papuchi?
Binafsi tayari na sio mara moja ila now ukiniomba hela lazima nikupe location ya kuja kuchukua haichezi mbali na gheto au gest kanuni yangu huwa situmi hela kwenye simu kama sijawahi kukulamba.
KawaidaWanaume wenzangu hivi Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia ata papuchi?
Na kwa mademu je ulishawahi kuhongwa bila kutoa Papuchi?
Binafsi tayari na sio mara moja ila now ukiniomba hela lazima nikupe location ya kuja kuchukua haichezi mbali na gheto au gest kanuni yangu huwa situmi hela kwenye simu kama sijawahi kukulamba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pumbafuhuu....... ahsante kwa kunywa k vant yangu na kuingia mitini, jua tu hela ya mwanamke hailiwi.
Iliniuma sana, k vant kubwa mtu kaipiga pyuuuuuu halafu kaingia mitini, inauma aseee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pumbafuhuu
Kumbe na ninyi huwa mnaumia jaman nilidhani ni Sisi wanaume Tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Iliniuma sana, k vant kubwa mtu kaipiga pyuuuuuu halafu kaingia mitini, inauma aseee.