Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Yule dada alikua ni mzuri acheni, amekula sana pesa zangu mwisho tulipoteana na sikuambulia hata busu.Afu alikua anajichukulia matawi sana.

Juzi hapa nimekutana nae, aisee kachoka "kumbe watu wanachoka sana"
Vyote alivyokula ki ukweli nimemsamehe. Mana hata sion cha kujilipa zaidi ya kuchukua mikosi.
 
[emoji28][emoji28]
Jamani
 
Daa mkuu hiyo ni ndogo kuna watu wanahonga mpaka million halafu wanaambulia patupu ,halafu staili ya mademu wa aina hii ukishawatongoza kabla hajatoa jibu utasika ,naomba nikopeshe hela nitakuludishia ,ukimpa tu papachu huli na pesa hulipwi.
dadeki
 
Itakuwa alikuwa muhayaa.. Nilipata manzi ya kihayaa inapenda matunzo ***** ila mchongo haitaki toa aisee mbona nikaimwaga fasta tuu japo kaumbika ila ufala huo sinagaaa...
 
Ila ulikuta break puhmhmbu sio? [emoji16][emoji16]
 
Ila ulikuta break puhmhmbu sio? [emoji16][emoji16]
[emoji1][emoji1]Mnato mzee baba, nachojilaumu sikua na zana za wa Congo yani nngechakaza kweli kweli!! Sema nn na jana kaileta imechakazwa, yani kila nikiichakaza nawaza hela zangu alizokula huyu kunguni
 
[emoji1][emoji1]Mnato mzee baba, nachojilaumu sikua na zana za wa Congo yani nngechakaza kweli kweli!! Sema nn na jana kaileta imechakazwa, yani kila nikiichakaza nawaza hela zangu alizokula huyu kunguni
Ungempakia mkongo akasimulie [emoji1787][emoji1787]
 
Itakuwa alikuwa muhayaa.. Nilipata manzi ya kihayaa inapenda matunzo ***** ila mchongo haitaki toa aisee mbona nikaimwaga fasta tuu japo kaumbika ila ufala huo sinagaaa...
Hakua muhaya, sema kwa urembo wake nahisi ametumika sana hadi amesahau kujitunza .
 
Anabembeleza mrudiane? Mbona simple mwambie alete mzigo nje ya hapo aishie huko
 
Dah...
Kuna mchumba mmoja mkali nlipata mitaa ya Kusini pale Masasi nikiwa kikazi bhanaa.
Yule mtoto alikuwa ananipa show hatariii.
Nlimuita zuchu Age 19 hivi.
Dah...Mamserenger nikapata mchongo wa ela ndef bila kutegemea

Nlienda Town nika nunua Geto zima ika nikost kama M 5 kasoro lengo nijilie mbunye huku napikiwa fresh na kulala pazuri dah...

Siku ya pili tuu nikapata uhamisho kwenda Mwanzaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24].

Dah asaivi nimebaki nakula na vdeo call tuu za wasap na lala zanguuuu[emoji17][emoji17][emoji17]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ilitokea bar moja inaitwa Shentemba maeneo ya Ihumwa Dodoma manzi mmoja alikula bia zangu 4 halafu akataka kuruka mtego ila nilimletea dhoruba mpaka akazirudisha.
Ila baada ya siku 3 alinipigia mwenyewe na kuniletea papuchi bila malipo yoyote zaidi ya kumlipia nauli ya boda tu.
 
Ukamsusia geto zima
 
[emoji16]
 
[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…