Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Mi nlikitongoza kipogoro flani ivi kikaanza mizinga mara nikipe hela ya mchezo kudadeki nikavumilia ipo siku kikalia kina nyege buana kikaja gheto kikaanza sababu mara niko period nikamla ivo ivo na vile alikua ashakula vipesa ivi kiasi nkaicharaza papuchi kinoma nkakuta ata hayuko period mshenzi yule na mimi kumkomoa nkampa nauli 2k arudi kwao alilaani mbaya mbovu akaja akanila kizinga cha 5k kwamba nimtumie aje na hawezi zingua maana nshamtyomba kumbe fiksi Maniner zake huyu fala
 
Dah ilinitokea nilimtumia 30k, tukakubaliana tutakutana lodge mida ya jioni. Mida ya jioni imekaribia wife ameniganda kinoma kuna sehem inabidi twende.

Basi ikabidi nimpige block yule manzi. Kesho yake namcheki nae kanipiga block.
Baada ya kama mwezi ivi kaniunblock, nikamshtua akaanza kunimind kwa kumblock.
Nikampanga vizuri ila tatizo kahamia mkoani
 

Dah pole sana baharia
 
Kuna mmoja nilimuibukia akanambia Jumamosi ndio ana muda. Juzi kaniomba nimkopeshe nikamwambia sina hela nitaipata Ijumaa jioni, kopa kwa mtu nitakupa tukionana.

Nia yangu endapo akiniomba Ijumaa jioni nisijibu mpaka usiku. Ukifika usiku nimwambie niko nje ya mji kuchukua pesa na mzigo hivo hakuna M-Pesa. Kesho tukionana nitampa ×2 yake. Akizingua ni win-win situation.
 
Siku nyingne husipende kutoa zawad ovyo ovyo bila mpango mkakat
 
Sana braza yani nlimfanyia ugentleman malaya!ila nmemueka kiporo yani yule lazima linda nilitoe!
Lazima ujifanye mpole hasiwe na pupa ipo siku ata kuletea mzigo na husi muonyeshee Kama umekasilika, we muonyeshe Kama una mpenda Kuna atakuonea huruma tu
 
Good care elfu 30 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe ni cheap Kama cheap nyingine
Relax broh naona unapanic mpka unasema vitu havihusiani out of the topic
Soma uelewe vizuri comment yangu afu ujibu accordingly.
 
Nimelipia kodi ya miezi sita Tsh 150@month , baada ya kuhamia second day nakuta kidume mwenzangu na hapo sijakula hata mzigo.

Maana niliambiwa hataki kwenda lodge hivyo anataka uhuru na yeye anaishi kwa wazazi wake akashauri nimtafutie nyumba simple tu ya kuishi yeye.

Ila nilipiga moyo konde nilisepa bila kuleta madhara kwa kidume yule wala kijike kile . baada ya Kodi kuisha alirudi tena kwa wazazi wake.

Ila Jacky Mungu anakuona.

Sponsor nilikata huduma .
 
tupe update yaliyoendelea mkuu
 

😀😀😀😀👍
 
Pole sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…