Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Manzi mmoja nilikutana nae manyara huko

To make the long story short
Nilimpenda Sana
Nilimnunulia sim awamu tatu mara ya kwanza nilimpa Tecno W3 yangu time ndio zimetoka akaharibu nikampa Samsung J1 yangu akaharibu nikampa iPhone 6 full boxed na zawadi kedekede mbali na hayo kuna hizi 25k 30k 40k mwisho wa siku sikula papuchi

Manzi badae nikagundua ana wasela kama wote hivi halafu akawa ananifanyia nyodo za kifala

Mengine sitaandika hapa code itafunguka itoshe kusema ilikua ngumu kumuacha alinigeuza kitega uchumi ilifik time nikachoka tu nikapata na mtu mwingine na yeye akamjua kupitia status mpaka leo anabembeleza nirudiane nae na sina time na mahusiano naye Ila shida yangu ni papuchi na yeye bado anabana

Ila ipo siku nitabandua hofu yangu ni kwamba naweza jirudisha nikapigwa hela na papuchi nisipate
 
Nimetoka kumtumia sms anirudishie hela zangu
mamaeee
sitaki ujinga!!

hata Kikwete alisema:
“usipokuwa tayari KULIWA kidogo HULI,
ULIWE kidogo UTAKULA,
sasa wataka KULA tu bila KULIWA?
HAIWEZEKANI”
Kwani alikushikia bastola mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] Yani ungekuwa na uvumilivu ungemlaa tuu.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Manzi mmoja nilikutana nae manyara huko

To make the long story short
Nilimpenda Sana
Nilimnunulia sim awamu tatu mara ya kwanza nilimpa Tecno W3 yangu time ndio zimetoka akaharibu nikampa Samsung J1 yangu akaharibu nikampa iPhone 6 full boxed na zawadi kedekede mbali na hayo kuna hizi 25k 30k 40k mwisho wa siku sikula papuchi

Manzi badae nikagundua ana wasela kama wote hivi halafu akawa ananifanyia nyodo za kifala

Mengine sitaandika hapa code itafunguka itoshe kusema ilikua ngumu kumuacha alinigeuza kitega uchumi ilifik time nikachoka tu nikapata na mtu mwingine na yeye akamjua kupitia status mpaka leo anabembeleza nirudiane nae na sina time na mahusiano naye Ila shida yangu ni papuchi na yeye bado anabana

Ila ipo siku nitabandua hofu yangu ni kwamba naweza jirudisha nikapigwa hela na papuchi nisipate
Mkuu simu zoote hzo plus hela, papuchi hakukupa???.....sa wkend mlikua mnafanya nini mkiwa pamoja au hata outing [emoji15][emoji3][emoji3]
 
Kuna kimoja enzi za JK alikula dola 200 yangu then akani block kila sehem, fb, kwenye cm n.k...
kikaolewa then hama hama ya JPM mumewe akamishwa Dom, akapata demu mwingine yy akawa km kaachika.
Kikanitafuta, nikasema wacha nimskilizie, km kawa vibomu vikaendelea alipoishia. Nikasema huyu this time around nitamyoosha. Nikawa namtumia huku namualika Gheto, siku ya kwanza kuja nikumuacha 2nd time nikambananisha nikakichezea sana kikalainika sana kikawa kinalia kinataka nikipe mtarimbo, nikasema muda wa kumuonesha huyu umefika...nikatumbukiza mashine mara moja tu then nikaitoa nikamwambia avae tu i dont fill like doing it..From there kikawa km kimepata mfadhaiko kinajiuliza maswali mengi yasio na majibu...kikikitext nakipotezea, kikitaka kuja Gheto nakipiga chenga, kikinipiga kibom ht cha 10k sijibu, hiki sija kiblock nakinyoosha taratibu.
 
Mbona kawaida sana!nilihonga miezi sita na simu nikamnunulia ila hata kiss sikuambulia!kila ukimgusia maswala ya papuchi ananuna anasema nina haraka sana!ilikua kila siku lazima nmnunulie kitimoto,kila wiki kusuka!hapo bado kumtoa out kila weekend na hata kiss sikupata[emoji28][emoji28],
Siku nikakuta message kwenye simu ake "bby una dick kubwa sana hapa k yote inawaka moto!
Hyo ndo siku niliyoamua kuachana naye rasmi
Hahaha
 
Mbona kawaida sana!nilihonga miezi sita na simu nikamnunulia ila hata kiss sikuambulia!kila ukimgusia maswala ya papuchi ananuna anasema nina haraka sana!ilikua kila siku lazima nmnunulie kitimoto,kila wiki kusuka!hapo bado kumtoa out kila weekend na hata kiss sikupata[emoji28][emoji28],
Siku nikakuta message kwenye simu ake "bby una dick kubwa sana hapa k yote inawaka moto!
Hyo ndo siku niliyoamua kuachana naye rasmi
Mkuu huyu deMu kama anaitwa Renatha mfupi na anakula kitimoto kama zombi basi tumepigwa wote, tuungane twende ICC
 
Mkuu simu zoote hzo plus hela, papuchi hakukupa???.....sa wkend mlikua mnafanya nini mkiwa pamoja au hata outing [emoji15][emoji3][emoji3]
Tatizo jingine time ile kuna namna hua najitukana sana

Nilipenda kiboya nikawa nadanganywa kwamba wewe Una haraka ya nini na Mimi wakati nitakua na ww siku zote au unataka uniache ukishanivua nguo?
 
I take good care of my women. if your dating those cheap hore's deal with it.
Au sio endelea na uzoba huo huo na kujisifu kuwa your woman [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we endelea kula kwa pesa wakati wenzio wanateleza kimasihara tu....wanawake wote mpo sawa tikiwavua nguo na mawigi so hauna uthamani wowote kwa sababu dudu nililo mpga nalo mwajuma ndala ndegu hilo hilo nakutinfulia wewe unae jiita piss Kali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Au sio endelea na uzoba huo huo na kujisifu kuwa your woman [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we endelea kula kwa pesa wakati wenzio wanateleza kimasihara tu....wanawake wote mpo sawa tikiwavua nguo na mawigi so hauna uthamani wowote kwa sababu dudu nililo mpga nalo mwajuma ndala ndegu hilo hilo nakutinfulia wewe unae jiita piss Kali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila mtu ana hulka yake bro kwani kuna limit yakuhonga[emoji23] tusipangiane
Hivyo viungo vya kike na vya kiume najua vinavyotumika changu na kivalue hata km last date yake alikua anatoka na chokoraa
 
Narudia tena punguzeni njaaa 30k unalia lia anyways najua mifuko hairuhusu basi anzeni kudanga mbona wakaka wengi tu nowdays wanadanga tujue moja[emoji23]
Good care elfu 30 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe ni cheap Kama cheap nyingine
 
[emoji28][emoji28]demu anakula kitimoto imagine kuna siku alikua kilo moja na ugali peke ake kesho akataka tena nkaona hapa nadate na Fisi sio bure!ila demu sio huyo mkuu!
Uki date demu halfu ukiona naaza kulakula ugali nyama,ugali samaki au anakunywa sumu piga chini, mwanaume mwenzako huyo
 
Back
Top Bottom