Ulishawahi kuingia msalani/chooni kujisaidia na simu yako mkononi.?

Ulitia mkono kwenye choo kuichukua? 😜

Nilishawahi kuingia na simu chooni huku naongea,asa ile nimeibana hapa hivi katika bega ili nifungue zipu ikanitoka ikaingia direct chooni
 
Ungekuwa umevaa kanga, gauni, skirt wala zipu usingehangaika nayo ingekuwa ni mwendo wa kupandisha juu na kushusha picchu 😜😜😜nadhani ulikuwa na suruali.

Hapana...ilikuwa home
Public nisingeweza
 
Ungekuwa umevaa kanga, gauni, skirt wala zipu usingehangaika nayo ingekuwa ni mwendo wa kupandisha juu na kushusha picchu 😜😜😜nadhani ulikuwa na suruali.

Yeah,ilikuwa suruali...bahati mbaya 😟
 
Reactions: BAK
Wee mwongo inamaana unakojoa ukiwa umesimama wee si demu?au wewe ni dume umesahu id unayotumia huku
Dah kwani wanawake hawavai suruali zenye zipu ?

Sasa Jeans mtoto ana hips unafikiria atashushaje suruali bila kufungua zipu ?
 
Reactions: BAK
Evu soma izuri coment yke akifayae sim ikatumbukia alafu uniavie kama kuna mwanamke mwenye ujasiri huo
Dah kwani wanawake hawavai suruali zenye zipu ?

Sasa Jeans mtoto ana hips unafikiria atashushaje suruali bila kufungua zipu ?
 
Hii ni kawaida sana. Unakikuta unaongea dkk 30 haja ndogo inakubana inaingia msalani.
 
Kila siku lazima niende na cm yangu toilet, maana huwa naboeka mno kukaa karibu dk15 nimetulia tu pasipo kuandka chochote...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…