DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kama fala, siku nzima nlikua sijacheka aiseeAlidindisha nje ya makubaliano
😂😂😂👊🙊Nimecheka kama fala, siku nzima nlikua sijacheka aisee
Kwamba makubaliano ilikua ni isisimame?🤣🤣Alidindisha nje ya makubaliano....afu u are following me? Eti?🙊. Ngoja nikufanye kitu
Inasimamaje na tupo kula?Kwamba makubaliano ilikua ni isisimame?🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Angekua mzaramo ungefatwa na kigoma....nauliza utatoa hutoi 🎵😁
Yenyewe isimame tu we endelea kula 😂Inasimamaje na tupo kula?
Endelea hivyo hivyo kisirisiri. I like that😀Mi nakutaka kisirisiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watoto wa kike wanatamaa za ajabu sana[emoji1787]
Watoto wa kike kwa kitimoto kmmmk waliliwa sana miaka ile ya 2005-2010 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Hahahah et anakohoa sana huenda alishakufa.
Alikuwa anataka tukamwagiane sasa,yaan ndo kwanza nimeshika kasamaki nibubune kichwa...kaanza ooo unajua,Lodge sijui nn😳 huyu nae anasemaje🙇Yenyewe isimame tu we endelea kula 😂
Good nilitaka kukwambia pia usimpe kiki akuharibie usiku wako....Yani nilivo na furaha zangu, we shoga hebu pita vile niache niendelee kucheka mie kwaheri
Tamaa gani tena? Ya kuliwa ama kula kitimoto?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watoto wa kike wanatamaa za ajabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂nitoe mie hapo,sina shida kabisa jaman
Uchawa bila akiba ni kutafuta kuumbukaUnatakiwa ukifika unausoma mchezo unaagiza unavyoweza kulipia kuepuka fedheha
Kuna uzi umetolewa huko wapewa offa muwe mnajitathimini