Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Story iko tofauti kidogo na yako mimi nilikula tupesa twake ila kutoa nanii nakataa tukipanga tukutane sitokei jamaa alikuja kunijazia nzi mtaani sisahau😬😁😁Uliachiwa bill au ulifukuzwa???😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story iko tofauti kidogo na yako mimi nilikula tupesa twake ila kutoa nanii nakataa tukipanga tukutane sitokei jamaa alikuja kunijazia nzi mtaani sisahau😬😁😁Uliachiwa bill au ulifukuzwa???😂😂😂
Mi nakutaka kisirisiriAcha uongo. Mbona hapa umenipata?
🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mambo yanachekesha sanaHii ya majini ilishamkuta rafiki yangu mmoja mkurya kipindi tuko chuo. Alibeba demu walikutana bar akaenda naye lodge kufika ile wamevua nguo akaanza eti nataka nyama kama kapandwa maruhani. Wambura alitoka nduki suruali akalivalia mapokezi.
Afu heri ya mwaka mpya. Hii nimekutakia kwa makusudi tuStory iko tofauti kidogo na yako mimi nilikula tupesa twake ila kutoa nanii nakataa tukipanga tukutane sitokei jamaa alikuja kunijazia inzi mtaani sisahau😬😁😁
| Nishawahi fanyiwa | hivyo na lishugamamy kipindi nipo form 2 | after necta Ile ugwadu wa miezi 6 | loooh niliosha vyombo na kudeki | uzuri nilikuwa na 5000 mfukoni | la sivyo ningedeki choo 🤮🤮🤮🤮 |
🤣🤣🤣🤣🤣 Angekua mzaramo ungefatwa na kigoma....nauliza utatoa hutoi 🎵😁Story iko tofauti kidogo na yako mimi nilikula tupesa twake ila kutoa nanii nakataa tukipanga tukutane sitokei jamaa alikuja kunijazia inzi mtaani sisahau😬😁😁
unajua kisa chako kinachekesha.😂😂😂bora ulambwe vibao ila kitimoto ungekuwa umekula.Iliniuma, kufika home tena ikawa ugomvi bro anamind mi mwanafunzi usiku huo natoka wapi.....yani anataka aniwashe vibao, sista ananitetea bro haelewi akaniambia kimbia chumbani, mi nduki nikajifungia chumbani nikalala njaa naogopa kutoka nitapigwa kwakweli hiyo siku Ilikua ni bad day jamani....from oder ya kitimoto kg 2 hadi kulala njaa
Hii jeuri nzuri sanaMan Siwezi kukimbiwa bill..sili chakula kwa kukomoa hata siku moja.na ikitokea ukaona nakutia hasara…tafadhali kila mtu alipe bill yake.ikitokea umekimbia I will clear that bill…
Ifike wakati mwanaume akuheshimu aise…kulia lia njaa kila mara inashusha utu na heshima🤟🏿
Kuna uzi wa pombe hapa ndaniWanawake wajinga sana umeitwa sehém unaagiza chakula au kinywaji cha bei kubwa, ambacho wewe mwenyew usingekua tayar kujinunulia kama ungekua pekeyako... Ukitaka mwanaume akuone msenge na aishie kukuchezea first meeting fanya upuuzi huo... Afadhali uagize vinywaj au vyakula vya gharama halafu uchangie bill sio bill inakuja unajifanya upo bize na cm kama fundi... Unakuta mwanamke ni mnywaji mzuri wa Serengeti Castle lite, Kilimanjaro lite ila kwavile kaitwa outing basi anataka kuagiza Savannah 10, au Hennessy, JackDaniel... Halafu ukute outing yenyew kaomba kwa kulazimisha 😂 halafu kuna ule upumbav wa kupiga picha vinywaj na vyakula na kujirekodi uko wap, mwanaume mwenye akili anakuona chizi tu...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daaah kuna wati jasiri sanaStory iko tofauti kidogo na yako mimi nilikula tupesa twake ila kutoa nanii nakataa tukipanga tukutane sitokei jamaa alikuja kunijazia inzi mtaani sisahau😬😁😁
Jamanii halafu mtaani wanajua ni mtu wa aibu na dinii sana jamaa alikuja kuongea shombo nilijuta kuchukua pesa yake leo umenikumbusha aisee😁😁🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna mambo yanachekesha sana
Ulilipa au ndio alijilipa kwa kujaza nzi 🤣Jamanii halafu mtaani wanajua ni mtu wa aibu na dinii sana jamaa alikuja kuongea shombo nilijuta kuchukua pesa yake leo umenikumbusha aisee😁😁
Tuambizane ukweli, hivi mnapochukuaga huwa mnapanga kuwa mwisho wake nini?😂😂😂Jamanii halafu mtaani wanajua ni mtu wa aibu na dinii sana jamaa alikuja kuongea shombo nilijuta kuchukua pesa yake leo umenikumbusha aisee😁😁
Niliishia kulala njaa tu asubuhi nikaamkia kiporo cha wali maharageunajua kisa chako kinachekesha.😂😂😂bora ulambwe vibao ila kitimoto ungekuwa umekula.
😁😁Mkuu sasa mtu anakubembeleza we chukua tu hata kama unitaki 😁😁Tuambizane ukweli, hivi mnapochukuaga huwa mnapanga kuwa mwisho wake nini?😂😂😂
Mwisho ni hamna kitu, yani inaishia hivo hivo kuchukuaTuambizane ukweli, hivi mnapochukuaga huwa mnapanga kuwa mwisho wake nini?😂😂😂
Anayetaka papa anajulikana tu.😁😁Mkuu sasa mtu anakubembeleza we chukua tu hata kama unitaki 😁😁
Halafu wanaagiza hao, utafikiri walikuwa kwenye mfungo wa kuombea taifa. Utasikia "niitie wa jikoni "😂😂