Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Uhakika😄😄Lazima maandiko yatimie 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika😄😄Lazima maandiko yatimie 😂😂
Mi aliomba Game,afu mwamba sijamwelewa....nilitokajetokaje sijui
Iliniuma, kufika home tena ikawa ugomvi bro anamind mi mwanafunzi usiku huo natoka wapi.....yani anataka aniwashe vibao, sista ananitetea bro haelewi akaniambia kimbia chumbani, mi nduki nikajifungia chumbani nikalala njaa naogopa kutoka nitapigwa kwakweli hiyo siku Ilikua ni bad day jamani....from oder ya kitimoto kg 2 hadi kulala njaa😂😂😂mbaya zaidi kitimoto hukula, daah inuma sana.
😂😂😂😂kumbe👊Hahahaaa siku nyingine jifanye umepandisha majini atakimbia mwenyewe
Man Siwezi kukimbiwa bill..sili chakula kwa kukomoa hata siku moja.na ikitokea ukaona nakutia hasara…tafadhali kila mtu alipe bill yake.ikitokea umekimbia I will clear that bill…Usiniambie kijibaba kilikimbia bill na wewe😅
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Im lost in laughter!!! Kwahio mzee alipobadili gia angani ukakumbuka ambavyo mlibeba skuna zenu ukawahi fasta kumshika maana angekuachia meza ungejuta
🤣🤣🤣🤣🤣Me kuna kidem cha chuo nilikuwa nachart nacho mpk tukawa wapenz kwa kuchart
1st date nikakapeleka Hyat packing kabla hatujashuka nakavuta tukis kanagoma
Tukaenda kule juu tukaagiza msosi kula tunapiga story kananiletea ooh me na boy wangu na tunapendana siwez msaliti
Kumuuliza we si tumechart mpk umenikubali "oooh yes but but but zikawa nyingi niliamka pale nikaondoka kanashangaa
Nikabadili kiwanja nikaenda sehem nyingine nikaagiza msosi nikaanza kula nisepe home
Alipiga sm yule dogo alilia nikamuonea huruma nikarud nikalipia na kumwonya " hapa ni mjini sio huko kwenu sombanyasoko ukiamua kula cha mtu uwe tayali kuliwa "
Inategemea level mlipofikia.Kwanin umshike mtu hadharan na ndio first date
Ahaaa hapo sawaInategemea level mlipofikia.
Kabla ya hapo tyr alikua ananitumia nudes.
Kwa nn aogope kujiachia sehemu za starehe. Moja kwa moja utaona anaogopa watu, labda anadate na mtu maeneo hayo ndo maana anaogopa.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kwahio ungekuwa na kibunda ungekazaHapa husband alikua kalipa bill tayari na asingeweza kuniachia bill, ila sasa tulivomaindiana akawa anaondoka halafu mi sina hata mia hapo weeee nilikimbia jamani kumfata 🤣🤣🤣 yani hizo mbio
😂😂😂😂😂😂Afu kilichoniuma sana nilikua natembea kwa mawazo ni ile kitimoto yani nimeagiza halafu hata sikuitia machoni.....Mungu atanilipa 🤣🤣🤣🤣
Kon ya Bwiru hadi rufiji kwa mguu dk kumi??? Sio kwelikona ya bwiru hadi mitaa ya rufiji si mbali kivivyo unavyopaelezea aisee
dakika kumi unafika
🤣🤣🤣🤣Iliniuma, kufika home tena ikawa ugomvi bro anamind mi mwanafunzi usiku huo natoka wapi.....yani anataka aniwashe vibao, sista ananitetea bro haelewi akaniambia kimbia chumbani, mi nduki nikajifungia chumbani nikalala njaa naogopa kutoka nitapigwa kwakweli hiyo siku Ilikua ni bad day jamani....from oder ya kitimoto kg 2 hadi kulala njaa
🤣🤣🤣🤣Alidindisha nje ya makubaliano....afu u are following me? Eti?🙊. Ngoja nikufanye kitu
Waambie,kina Evelyn Salt wanaona ni vizuri kuja na marafiki zao. Umejiandaa bajeti ya mtu 2 anakuletea na rafiki zake nao wanataka walewe kwa pesa zako!Sasa mtu unaalikwaje halafu unaenda na mtu mwingine wa nyongeza?ni uphaller bora kutelekezewa bill tu..mxiu
Yeah ingenipa confidence ningeamka taratibu tu kama ni bajaji ningekuchkua nikaenda home....nisingekua na zile mbio🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kwahio ungekuwa na kibunda ungekaza
domozege ,pesa kutawala saundiKwanin umshike mtu hadharan na ndio first date
Hii ndio inatakiwa sasa ni marufuku mwanamke kushika hela maana inawapa confidence za kijinga sana 😀Yeah ingenipa confidence ningeamka taratibu tu kama ni bajaji ningekuchkua nikaenda home....nisingekua na zile mbio
🤣🤣🤣🤣 Kumbe nilikataa kupashika