Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Yes,Sie tupo atuite tukapime uzito wa pochi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes,Sie tupo atuite tukapime uzito wa pochi yake.
Wacha nitoke huku niliko kwanzaSie tupo atuite tukapime uzito wa pochi yake.
Acha hizo tutoe out sisi basi??Kijana Ke sio me ujue. Bado nakula bata, narudi kwa ofisi next week.
Subiri nirudi likizo acha kimuhemuheAcha hizo tutoe out sisi basi??
Hhahaha mlidaiwa?mi haijawah nitokea aiseeDaaahh hii ya kula kusaza nitaandika siku nyingine....ilitutokea puani sponsor alidai hadi weaving khaaa mbona sister alilifumua akaondoka nalo😁
Amina AminaWacha nitoke huku niliko kwanza
Sponsor alisimama pembeni nikawa namfumua dada angu weaving akalichukua sponsor akaondoka nalo 🤣🤣🤣🤣 sista akabaki na twende kilioni zakeHhahaha mlidaiwa?mi haijawah nitokea aisee
😆😆😆😆😆Subiri nirudi likizo acha kimuhemuhe
Mlimkosea nin?Sponsor alisimama pembeni nikawa namfumua dada angu weaving akalichukua sponsor akaondoka nalo 🤣🤣🤣🤣 sista akabaki na twende kilioni zake
Story ndefu kidogo, nitaandika nitakuita 🤣🤣🤣Mlimkosea nin?
Story ndefu kidogo, nitaandika nitakuita [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nae alivokua na midingi minne kwani ilikua kikao cha bodi?? [emoji16]
Ni Dada yetu huyo
Mi aliomba Game,afu mwamba sijamwelewa....nilitokajetokaje sijuiHii dhambi ya kukimbia mtu na bia zake mezani nimefanya Mara mbili
[emoji23][emoji23][emoji23]
Una bahati,yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea
Alidindisha nje ya makubaliano....afu u are following me? Eti?🙊. Ngoja nikufanye kituDah! Wewe sio mtu mzuri 😂😂😂
Duh aiseeetwende mbele turudi nyuma..sema ulianza umalaya ukiwa bado mdogo sana. kidato channe unaalikwa sehemu yastarehe unaenda? 🤣🤣🤣Hadi sasa itakuwa umedunguliwa mishale kibao 🤣🤣
Tulipanga kukutana vya mitandaoni tena....alitangulia nikamkuta...nikaagiziwa tukawa tunakunywa taratibu ....akaanza kuomba Game nikasema ngoja nikimbie kabla hajapata hasara ya pesa ya lodgeulimuachia bill uliyopaswa kuilipa au ulijilia vinono ukatokomea?
Una bahati,
Mie huwa nafukuza kabisa, bora alikufokea.
Kuna mdada ana kazi yake kabisa tumepanga date akaja na hizohizo pigo. Yaan anataka akae kama niko na dada angu wakati anajua ni date kabisa. Nlichomfanyia hatonisahau, na kibaya alinikuta nshaanza kulewa af ni chimbo langu, nikamuita muhudumu wa kiume nikamwambia "Nitolee huyu malaya hapa".
Hadi leo yule dem ananichukia zaidi ya shetan nadhan
Sasa mtu unaalikwaje halafu unaenda na mtu mwingine wa nyongeza?ni uphaller bora kutelekezewa bill tu..mxiuPia usiende na dada yako kwenye date