92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Mwaka 2014 nilienda singida kutembea tu. Nilikua na jamaa yangu namkubali sana ni rafiki toka chuo mpka leo mwamba alinikaribisha tena singida vizuri basi nikamjuza nimekuja kutembea siku kadhaa nimepakumbuka singida.
Mwamba akanipa na usafiri yeye akienda harakati zake na mimi nisiwe kinyonge basi jioni moja nikaenda singidani kuna hoteli inaitwa khb (katala beach hotel) kwa kipindi hicho ilikua inabamba pembeni kule ilikua inaporomoshwa regency hotel basi nikapiga kinywaji changu nikimsubiri mtoto mzuri.
Alipofika akaagiza kuku wine na alikuja na wenzake wawili wakati mimi nilimpanga siko njema mfukoni njoo mwenyewe tule goodtime na ukwel sio kwamba nilikua vibaya hapana ila nilitaka aje pekeake ili niwe huru na yeye bas akanisaliti kaja na wenzake tena wawili.
Mmoja kati ya wale rafiki zake nilishakula sana kipindi nipo chuo na yeye alikua anauza duka la nguo mjini (razack) kama sijakosea. Basi nilipoona kanisaliti na mimi nikaamua kuua kwa upanga nimeagiza vitu wamekula nikaanzisha stor na yule demu nayeye alikua ananikumbuka vizur nikatega kaenda chooni na mimi nikasubiri muda anarudi nikutane nae njiani basi ikawa hivyo nikampanga nikamwambia akifika mezani aseme hayuko njema aniombe nimpeleke home dem bila kuchomoa akakubali.
Basi ile narudi dem kaanza kutapika basi nikamchukua yeye na yule mwenzake nikawambia nyie mrudi home yule dem wangu nikamwambia agiza endelea nakuja.
Tulipopanda gari wakaangua kicheko wakimcheka yule dem wangu kwamba ni mshamba nikawapa stor yote nimempanga siko njema ila yeye kataka sifa kawaleta alaf hajajua kaniletea dem ninaempenda zaidi yake basi tukabadili kiwanja tukapoa rafiki resort mpka usiku tukamrudisha rafiki home nikabaki na dem wa zamani tukarud home na sikujuaga kwaamba yule mlupo tuliemtoroka alilipaje vile vitu.
Mwamba akanipa na usafiri yeye akienda harakati zake na mimi nisiwe kinyonge basi jioni moja nikaenda singidani kuna hoteli inaitwa khb (katala beach hotel) kwa kipindi hicho ilikua inabamba pembeni kule ilikua inaporomoshwa regency hotel basi nikapiga kinywaji changu nikimsubiri mtoto mzuri.
Alipofika akaagiza kuku wine na alikuja na wenzake wawili wakati mimi nilimpanga siko njema mfukoni njoo mwenyewe tule goodtime na ukwel sio kwamba nilikua vibaya hapana ila nilitaka aje pekeake ili niwe huru na yeye bas akanisaliti kaja na wenzake tena wawili.
Mmoja kati ya wale rafiki zake nilishakula sana kipindi nipo chuo na yeye alikua anauza duka la nguo mjini (razack) kama sijakosea. Basi nilipoona kanisaliti na mimi nikaamua kuua kwa upanga nimeagiza vitu wamekula nikaanzisha stor na yule demu nayeye alikua ananikumbuka vizur nikatega kaenda chooni na mimi nikasubiri muda anarudi nikutane nae njiani basi ikawa hivyo nikampanga nikamwambia akifika mezani aseme hayuko njema aniombe nimpeleke home dem bila kuchomoa akakubali.
Basi ile narudi dem kaanza kutapika basi nikamchukua yeye na yule mwenzake nikawambia nyie mrudi home yule dem wangu nikamwambia agiza endelea nakuja.
Tulipopanda gari wakaangua kicheko wakimcheka yule dem wangu kwamba ni mshamba nikawapa stor yote nimempanga siko njema ila yeye kataka sifa kawaleta alaf hajajua kaniletea dem ninaempenda zaidi yake basi tukabadili kiwanja tukapoa rafiki resort mpka usiku tukamrudisha rafiki home nikabaki na dem wa zamani tukarud home na sikujuaga kwaamba yule mlupo tuliemtoroka alilipaje vile vitu.