Kitimoto kilo mbili kwny ulevi wa pombe na nyama inakata vizur tu na unabaki unajilamba[emoji4]Na nyie kitimoto kilo mbili mabint mna friji huko tumboni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli ile siku huwa siisahau si angetupa hata buku jamani tupande daladala tulifukuzwa kama mbwa [emoji1787][emoji1787]
Hawa walikuwa vibinti bwanaKitimoto kilo mbili kwny ulevi wa pombe na nyama inakata vizur tu na unabaki unajilamba[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
hiki kibibi Cha hovyo sijui kina shida gani toka utotoniπ€ulianza umalaya mapema Sana Bibiπ₯marungu yasha kuharibuπ€£π€£π€£Yani nilivo na furaha zangu, we shoga hebu pita vile niache niendelee kucheka mie kwaheri
Kuachiwa bill mkuu sijawah
Kina dada hata ukitoka out na baba chanja beba hela ya akiba, huwezi jua lolote linaweza kutokea.
Ni aibu mtu unaitwa mtoko halafu unategemea akulipie mpaka nauli uliyojia kweli?? Ndio maana wanatuona wadangaji na wapiga vizinga, tunajishusha wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
,πππ naona umefurahiiii mwenyewe
Nyie mlimpa nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli ile siku huwa siisahau si angetupa hata buku jamani tupande daladala tulifukuzwa kama mbwa [emoji1787][emoji1787]
Uwepo πππNyie mlimpa nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuko real hatupindi pindi
Kuguswa upaja hautaki, lakini kufakamia rost ya kiti moto unataka,
Mchawi hadi wewe πππMimi nilimkimbia shuga mamy na bill yake mimi naagiza maji nikijua mlipaji yeye yeye anaagiza kilimanjaro kubwa na supu ya kuku
Nilimuacha hapo
Mchawi hadi wewe [emoji23][emoji23][emoji23]