Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

Yani nilivo na furaha zangu, we shoga hebu pita vile niache niendelee kucheka mie kwaheri
hiki kibibi Cha hovyo sijui kina shida gani toka utotoniπŸ€”ulianza umalaya mapema Sana BibiπŸ˜₯marungu yasha kuharibu🀣🀣🀣
 

Wewe peponi moja moja utakunywa wine na malaika gabriel
 
Kumbe ukimtoa mtoto wa mtu mkale Lunch au Dinner ndo mnaita offer sio, Yaani mimi nakupa offer ya kukulisha sio kwamba tumeenda kula bali ni kukupa offer!!! so, ili kuua hilo neno inatakiwa ujilipie bill yako c ndiyo?, Unaona bado haitoshi unanipa jina la sponsor/buzi oooh, nimetoka na cha kujifunza hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…