Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

Ukialikwa na huna hela siku hio unakataa date? Halafu mtu mwenyewe huwezi mdhania kuwa anaweza kukukimbia
RRONDO siwezi enda sehemu bila kuwa na akiba.na pia siwezi agiza kitu ambacho binafsi sitoweza kukilipia.

Kipindi cha nyuma kidogo nilifanya kazi katika sekta ya hotel so ninauzoefu na baadhi ya comments nilizoziandika katika huu uzi
 
Wewe hukumuelewa tu,unafikiri kweli hapajui feri? Alitokaje kwao kigamboni?
 
Sasa ukiwa na mimi si utakunywa Coca-Cola usiku wote!
 
DADA YAKO ALISEMAJE MLIPOFIKA NYUMBANI AU KESHO YAKE😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…