RRONDO siwezi enda sehemu bila kuwa na akiba.na pia siwezi agiza kitu ambacho binafsi sitoweza kukilipia.Ukialikwa na huna hela siku hio unakataa date? Halafu mtu mwenyewe huwezi mdhania kuwa anaweza kukukimbia
Wewe hukumuelewa tu,unafikiri kweli hapajui feri? Alitokaje kwao kigamboni?Kuna siku mwaka jana saa 12 alfajiri nimekutana na dada mzuri karibu na ofisi za jiji Posta, katoka Harbor view hotel. Mwamba itakuwa hakumpa nauli bibie anauliza wapi anapandia Pantoon.
Nikamuelekeza na kumpa option ya bajaj maana alikuwa kapendeza sana, akaomba aonyeshwe uelekeo wa kutembea.
Asante Honorable!Mkuu unaakili Sana ww afu ww ni mafia ngoja nikutakie mapinduzi day [emoji110]
π€£π€£π€£ Kwakweli huwa nacheka tu, mi mwenyewe yananichekesha hayo makolokochoNa ile kitimoto ya pale "The dream" ilivyo tamu daah, huo ni ukatili.
Kama kweli yashapoa weka picha...Nshapoa shemela
π€£π€£π€£ Kwakweli huwa nacheka tu, mi mwenyewe yananichekesha hayo makolokocho
Picha yangu, ya alienifukuza au ya kitimoto shem πKama kweli yashapoa weka picha...
Sasa ukiwa na mimi si utakunywa Coca-Cola usiku wote!Niko makini Sana kwenye hilo,kwanza naangalia Aina ya kinywaji unachokunywa, speed yako ya unywaji,maongezi yako, comfortability yako, naangalia mazungumzo je tunazungumza lugha moja?hapo naweza kujua game linaendaje...nikiona sikuelewi elewi mie huyo naomba zangu Coca-Cola bariiidiiiiii
Alikuwa si mkazi wa Kigamboni, vazi alilovaa ile alfajiri alikuwa anakosa uhuru wa kutembea. Vazi lile ni la kwenda location kwa usafiri private, pale Azam Marine kapita kwa kuweweseka hata mtandio wa kumsitiri hakuwa naoWewe hukumuelewa tu,unafikiri kweli hapajui feri? Alitokaje kwao kigamboni?
Ya kwako kwanza ukiwa kwenye hizo high hills ulizofukuzwa nazo...Picha yangu, ya alienifukuza au ya kitimoto shem π
Pana kuku hatariNimefurahi kusikia umewahi kaa mtaa wa rufiji, unapajua MALIKUSEMA?
Picha inakuja shemela πYa kwako kwanza ukiwa kwenye hizo high hills ulizofukuzwa nazo...
Ngoja tuone...Picha inakuja shemela π
Kwa Nini?huwa una tabia gani kwani?....nikishapiga Coke moja nahamia maji ya makubwa,simple tuSasa ukiwa na mimi si utakunywa Coca-Cola usiku wote!
Nimecheka kifala sana aiseeAfu kilichoniuma sana nilikua natembea kwa mawazo ni ile kitimoto yani nimeagiza halafu hata sikuitia machoni.....Mungu atanilipa π€£π€£π€£π€£
Mmh sio nawe utanifukuzia mbali huko inbox nyie sio watu wazuri πNimecheka kifala sana aisee
njoo inbox nikupe zawadi yakoππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa mbunye bar jamani???? Ilikua mtoko wa kula tu na maongezi
DADA YAKO ALISEMAJE MLIPOFIKA NYUMBANI AU KESHO YAKEπMwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari na kuniita mahali jioni, nikajisema si kula tu??? Naenda mie...mida imefika nikachukua simu ya sister nikampigia na kumtaarifu nakuja ila nakuja na sister angu akasema hamna shida njooni.
Haooo tukatinga na viatu virefu jamani halafu mfukoni hatuna hata sh 100, tax tumechukua akaenda kulipa, tukaagiza kitimoto kg 2 na vinywaji, pale mezani yupo na wenzie wanne wakati tunawait msosi uje yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauliππ vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala π
Hapo mida kama ya saa mbili hivi tukaanza kutembea kwa miguu kutokea kona ya Bwiru hadi mitaa ya rufiji nyie! nyie! tumeomba lift kwenye daladala wapiii tumenyimwa tukavua na viatu tukakanyaga peku moja mbili hadi home make miguu ishachoka ...huwa nacheka nikikumbuka huo mtoko.
Nimemkumbuka hili tukio baada ya kisa kilichotokea juzi, nilikua mitaa flani naendelea kuukaribisha mwaka, meza ya pembeni akaja demu mkare akaagiza wine akaanza kuipiga ile kunywa kulamba mwendo wa kumsubiria sponsor aje, baada ya muda jamaa akatimba, jamaa mapepe hata haendani na yule demu kwakweli japo hayanihusu π
Dem kuona mlipa bill kaja akaongeza na spidi na akachangamka, mara ikaagizwa chupa ya pili, jamaa anaagiza Heineken zake pale anapiga na watu offer....imefika saa nne akatoka kama anaenda kuongea na simu daaahhh mtoto kaachiwa bill pale ilibidi aache simu
Epuka aibu, beba pesa yako, happy new year familia
Tena washukuru walifukuzwa vinginevyo wangeachiwa bili ndo wangejua kuwa sasa wanaingia mkoa wa MaraMaongezi ya bar yanaendana na kupapasana! Jamaa alipima upepo mapema akaona hapa mizinguo tu.