cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah unataka kusema nn?Sasa mtoto wa kiume unaenda dada ako kaitwaa kufanya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah unataka kusema nn?Sasa mtoto wa kiume unaenda dada ako kaitwaa kufanya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo naweza kuwa natongoza janaume lenzangu bila kujua? Ee Mola niokoe
Yani bora akuuee kuliko kwenda na dada ako anaenda kuonana na mwanaumee.. kwanza ni dharau sana sema jamaa alikuwa young so haina shida ilaa mtu mzimaa unaongozana na dada ako kwenda kwenye date ni ufalaa sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah unataka kusema nn?
Afu kwanini ulininyima tunda kimasihara?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah unataka kusema nn?
Kwahiyo naweza kuwa natongoza janaume lenzangu bila kujua? Ee Mola niokoe
Hapo mkuu mpo lugha gongana. Wewe unamuongelea Evelyn Salt mwenzio anamuongelea Glenn kwamba ndio dume. Alivyosoma alihisi wewe umesema ulimtongoza Glenn.Kwahiyo naweza kuwa natongoza janaume lenzangu bila kujua? Ee Mola niokoe
Kwa nini uje na kundi, ni sawa na kupewa kadi ya single kwenye harusi halafu uje na timu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaah.
Vyakula amazing, kuku, mbuzi kwa wingiPana kuku hatari
Tena washukuru walifukuzwa vinginevyo wangeachiwa bili ndo wangejua kuwa sasa wanaingia mkoa wa Mara
Hii aibu yenu imefika kilo tanoSasaivi nimekumbuka tukio kama hili lako
Siku hiyo nilikuwa natoka zangu uko kuzulula kufika home nimemkuta dada yangu kaulamba kweli nikamwambia unatoka akasema ndio kwaza vaa tutoke wote hili mzee asije leta noma nikavaa chap
Tumetoka getini akawa anaongea na jamaa akasema ametuma boda kufika pale boda akaaza kisilani sibebi wawili dada angu mtata akasema basi acha
Tukafosi kupanda hivyo hivyo kufika pale eneo la tukia jamaa akapiga simu upo na nan? Dada akajibu na mdogo wangu yul jamaa akakata simu dad akapiga tena akupokea nikamwambia huyo jamaa mshamba embu achana naee tuludi home tukaludi home mda uho uho dada angu mwingine alitucheka sana
[emoji86][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwamba kanyoosha.
Hahahahah lete mkeka wake tucheke kidogo 😀😀😀Yupo alietunyoosha 😁😁 habari za outing ziliishia hapo, huyu kutufukuza ishu ndogo hiyo
Nyie ndio mnaliwaga japo wa kiume, dume zima unadandia ofa za dada huoni aibu kudanga na dada zako?[emoji23][emoji23][emoji23] abilia chunga mzigo wako mimi ni mlizi wake af kipindi kile nikuwa young so nilikuwa napenda mitoko balaa ila now siendi ata asemeje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliemwambia alete habari za bishoo wake wa jf ni nanikuna mwaka mmoja kipindi bado naishi gana hapa mwanza, kuna dada humu alipost kuwa anataka mme, bila hiana tukachekiana na kukubaliana kukutana pale kona ya bwiru kuna bar moja nimeisahau jina iko nyuma ya diamod bar and car wash. alifika mida ya saa moja jioni.
mimi nilienda na 50000, nikijua itatosha kila kitu..
tatizo lilikuwa ni yeye ushirikiano wake haukunifurahisha.. yaani mda wote yeye anasifia jamaa yake mwingine wa jamii forum huku kaangiza bili ya 25000, kila nikitaka kujiongelea ili tuzungumze ya kwetu yeye anarudisha mada kwa huyo jamaa.. ukweli aliniboa sana. nilichofanya mda wa billi yule mhudumu nilimwambia alete bill mbili tofauti na kila mmoja alipe yake.. yule alichukia mbaya na hatukuendelea tena na mawasiliano..
nayeye Angewafakamia kibabe sana 🤣🤣🤣! Ilikuwa ni swala la muda tu🤣🤣🤣🤣 Ningeifakamia balaa kilo moja na ndizi mbili na kachumbali
Babuuuuh njoo nikupeeee, seriouslyAfu kwanini ulininyima tunda kimasihara?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaah.Yani bora akuuee kuliko kwenda na dada ako anaenda kuonana na mwanaumee.. kwanza ni dharau sana sema jamaa alikuwa young so haina shida ilaa mtu mzimaa unaongozana na dada ako kwenda kwenye date ni ufalaa sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli.Kwa nini uje na kundi, ni sawa na kupewa kadi ya single kwenye harusi halafu uje na timu