Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Asingeweza kumtafuta aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee ulimuweza jamaa itakuwa hakukutafuta tenaaa aisee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asingeweza kumtafuta aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee ulimuweza jamaa itakuwa hakukutafuta tenaaa aisee..
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Siku ukija ubebe na nguo za kubadilisha kesho maana hutoki hadi kukuche.Nasi tulikua na misingi yetu ya NIITE TUJE 🤣
Hapa ninakupinga Chakorii.Mwana dada hakikisha unatoka na pesa au card ya bank katika matembezi yako muhimu.
Bora ni sahau simu lakin ni card ya bank wala pesa Kwa mkono.veri simpo
Yalikua maisha ya ujanani tushakua wamama na familia zetu hizo ni zilipendwa 😁🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Siku ukija ubebe na nguo za kubadilisha kesho maana hutoki hadi kukuche.
Hahahahah kweli zilipendwa sema ujana uliufaidi.Yalikua maisha ya ujanani tushakua wamama na familia zetu hizo ni zilipendwa 😁
Mtoa mada kasema alikuwa form four.Ndugu Mtanzania mwenzangu,katika mwandiko wangu kuna mahali umeona nimezungumzia mtoto wa from four?ungeelewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alikunywa soda enzi zile 250 nakumbuka Mpk hapo hajaniongelesha Tena ujinga wake,hakuna kitu kibaya km kutoka huna pesa najitahidi Nile kwa mfuko wangu ulivyoNa hivi ndivyo inavyotakiwa mwanamke uwe.tena ingewezekana na bill yake ungemlipia kabisa..shwaini
Sasa kama anaekutoa out ni mtu unaemwamini halafu anaenda kukutelekezea bill nini maana Yake?hivi utatolewaje out jaman ushindwe hata kumtip waiter kisa hulipii bill wewe🤓🤓hapan.Hapa ninakupinga Chakorii.
Unataka kusema wasio na pesa wasiitikie wito?
Jambo la muhimu nashauri kabla hujaitikia wito hakikisha;
1. Unajua fika unatolewa out kwa minajili gani?...hoji kila kitu usiende kikondoo
2. Ujifika pia usifakamia hasa ikiwa ni out ya kwanza na huyo mtu.
[emoji3][emoji16][emoji16]aliniheshimu na ujinga ujinga wake aliacha kwangu [emoji1][emoji1][emoji1]!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee ulimuweza jamaa itakuwa hakukutafuta tenaaa aisee..
Aliwakatili we nae ungevuta muda kidogo tu mule musepe[emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1]haraka ilikuponzaYeah hata kuiona tu sikuiona, bado inarostiwa huko tayari tushafukuzwa
[emoji1][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]juice mnakunywa wote kaaahhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alijiandaa kulipa bill ya soda tu....
Kuna jamaa aliwahi kuandika eti ye hachezei hela akiita demu out ni glass moja ya juice na mirija miwili nilicheka jamani [emoji1787][emoji1787]
Nilikwambia tutoke ujue Nina pesa ya kutosha yaani apo everything upon me kula kunywa na ganja tutachoma🔥🔥Mwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari na kuniita mahali jioni, nikajisema si kula tu??? Naenda mie...mida imefika nikachukua simu ya sister nikampigia na kumtaarifu nakuja ila nakuja na sister angu akasema hamna shida njooni.
Haooo tukatinga na viatu virefu jamani halafu mfukoni hatuna hata sh 100, tax tumechukua akaenda kulipa, tukaagiza kitimoto kg 2 na vinywaji, pale mezani yupo na wenzie wanne wakati tunawait msosi uje yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauli😂😂 vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala 😁
Hapo mida kama ya saa mbili hivi tukaanza kutembea kwa miguu kutokea kona ya Bwiru hadi mitaa ya rufiji nyie! nyie! tumeomba lift kwenye daladala wapiii tumenyimwa tukavua na viatu tukakanyaga peku moja mbili hadi home make miguu ishachoka ...huwa nacheka nikikumbuka huo mtoko.
Nimemkumbuka hili tukio baada ya kisa kilichotokea juzi, nilikua mitaa flani naendelea kuukaribisha mwaka, meza ya pembeni akaja demu mkare akaagiza wine akaanza kuipiga ile kunywa kulamba mwendo wa kumsubiria sponsor aje, baada ya muda jamaa akatimba, jamaa mapepe hata haendani na yule demu kwakweli japo hayanihusu 😁
Dem kuona mlipa bill kaja akaongeza na spidi na akachangamka, mara ikaagizwa chupa ya pili, jamaa anaagiza Heineken zake pale anapiga na watu offer....imefika saa nne akatoka kama anaenda kuongea na simu daaahhh mtoto kaachiwa bill pale ilibidi aache simu
Epuka aibu, beba pesa yako, happy new year familia
🥂Mtoa mada kasema alikuwa form four.
Unanichomesha mahindi PM ujueNjooo PM babuuu
Hii aibu yenu imefika kilo tano
Nyie ndio mnaliwaga japo wa kiume, dume zima unadandia ofa za dada huoni aibu kudanga na dada zako?
Wewe kweli ni mafia[emoji23][emoji23]Mwaka 2007 kwenye mambo ya ujana siku moja tukatoka na washikaji kwenda kunywa. Utaratibu ilikuwa tukishakunywa bili ikija tunagawana au kama kuna aliyetoa ofa ya siku analipa yeye.
Basi siku hiyo tumekunywa ikafika mida ya saa 5 isiku jamaa wakaitana kama wanazungumza pembeni kumbe ndio wameniachia bili.
Nilistukia mchezo nikawaonesha umafia, walipofika nyumbani wakakuta mimi nimefika kabla yao na nimelala.
Bahati nzuri zaidi mtaa tuliokimbia ndio walipokuwa wanafanyia kazi hivyo wanajulikana zaidi yangu.
Sijui kama walilipa maana ndio ilikuwa mara ya mwisho kutoka nao out.
Popote ulipo kunywa soda naja lipaAhaaa kuna demu mshenzi aliagiza samaki wa 27000 na malta mbili mi huku napiga pepsi,nilimmezea viagra hawezi nisahau
Bora yenu 😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini sisi tulikuwa na nauli [emoji23][emoji23][emoji23] hatukutembea
Bora yenu [emoji16][emoji16]