Huyo sponsor alikuwa ni jonijo hair au aristoteeSponsor alisimama pembeni nikawa namfumua dada angu weaving akalichukua sponsor akaondoka nalo 🤣🤣🤣🤣 sista akabaki na twende kilioni zake
Barmaid hanunuliwi pombe kabla hujamla ni bora umwambie utakwenda kunywa lodge.Na alikuwa barmaid ashakula 15000 ya wambura. Ishapita week tukaenda kwenye ile bar na wambura tukamkuta akatuletea vinywaji halafu alivyokauzu kama wambura hamjui vile.
Nido🤣🤣🤣🤣Mnaleta ubishoo mbele ya baharia 🤣🤣🤣,,, huyo muhuni kanifurahisha sana tunahitaji wajuba kama hao wanaume tumepungua sana sikuhizi.
We unajua kabisa ukiitwa mtoko lengo ni kuchanyatwa unakuja na dada yako kujiwekea uzio halafu bado kushikwa mbunye na nido hutaki. Hamjui wajibu wenu poteeni harakaaa 🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nimechekaaa mnooo, aibu ilimshukaa shuu.Nshawahi itea sehemu nkaagiza redbull chips na kuku ,jamaa akashtuka heee mi Sina Hela[emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3]nkamuambia usijali ntalipa mwenyewe nikala nikalipa hakuongea mpk naondoka[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna dada mmoja nilikuwa namtoa out ,ila nilikuwa namshangaa sana ,anachagua viwanja yy mwenyewe,tena ananiambia twende sehemu fulani ,na mimi nilikuaa naenda tu kwa kuwa nilikuwa nataka mbususu.
Kalikuwa kana ma neno mengi ,tukifika sehemu kana agiza kuku mzima wa kienyeji na hiyo dompo,kanakula ovyo ovyo tu kuku kana muacha kama alivyo.Nilikuwa naumia sana kitendo hicho. Mimi nilikuwa napiga tungi basi naagiza bia zangu nakunywa mdo mdo ,
Bili ikija ni almost elfu 50, na nikiangalia gharama ya bia zangu nilizokunywa haifiki hata 8k.Nilikuwa nikiumia sana ,nikiwa najiambia mwenyewe ,huyu binti si wakuoa hata mara moja .
Kikawaida huwezi kuagiza kuku mzima ambaye anaweza kuliwa na watu hata wanne na wakalizika wote eti wewe ule peke ako,huo ni uharibifu wa pesa .
Nilikula mbususu nikaruka futi elfu hata simu nikawa sipokei
Utakuwa mchovu sana we jamaa yani hauna Salio bank Wala kwenye mitandao ya simu?Me nakumbuka nilkua na appointment na pisi mmoja hivi mida ya saa kumi na mbili jioni nikawahi kufika eneo la tukio ( mgahawa) nikaagiza maziwa fresh ya buku 2, nikawa na kunywa mdogomdogo namsubir mlengwa wangu.
Daaah... ilivyofika saa moja jioni mtoto huyo akafika kapendeza hatari nika muita muhudumu amsikilize malkia wangu vitu alivyo agiza ni vingi mno, bill kuja 30k. Kimbembe sasa nilivyotaka kulipa kumbe pesa cjui hata niliangushia wapi...? [emoji23][emoji23]
Nilicho fanya nilimuitia huyo manzi boda ambaye na mjua ili demu asepe asione navyo dharirika.
Nilibaki pekee yangu nawaza na ondokaje hilo eneo jasho kama lote lina nitoka, kukatisha stori kuna maharusi waliingia kwenye huo mgahawa kula, best man nilkua na mjua ndo alinilipia bill yangu akanambia niagize na juice ya buku ninywe.
Sasa hivi nikienda sehemu yoyote kula au kununua kitu lazima ni jisachi kwanza kama niko na ela yasije kunikuta tena.
Stress zilishakuisha au bado unazo?Mie sijawahi maana siye ndio tulikuwa naitwa viraka inaamanisha tunapiga misosi na kwendra tunakwendra So kuachwa na bolo mezani hakunaga siye tunakilaga fasta.
Yaani unamtext umeshaagiza yes Nini ulisemaje kwani nope muhudumu wa bara anasema ni kweli napiga msosi nasepa .
Sio tupo wachache tupo wawili zaidi na hatuachani nabado nauli tunaomba chuo Bajan nilienjoy nastori siwezi wapa za mapito mnakera humu miji vichaa ya huku utasikia maraya sijui Nini mashenzi tu
Mwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari na kuniita mahali jioni, nikajisema si kula tu??? Naenda mie...mida imefika nikachukua simu ya sister nikampigia na kumtaarifu nakuja ila nakuja na sister angu akasema hamna shida njooni.
Haooo tukatinga na viatu virefu jamani halafu mfukoni hatuna hata sh 100, tax tumechukua akaenda kulipa, tukaagiza kitimoto kg 2 na vinywaji, pale mezani yupo na wenzie wanne wakati tunawait msosi uje yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauli😂😂 vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala 😁
Hapo mida kama ya saa mbili hivi tukaanza kutembea kwa miguu kutokea kona ya Bwiru hadi mitaa ya rufiji nyie! nyie! tumeomba lift kwenye daladala wapiii tumenyimwa tukavua na viatu tukakanyaga peku moja mbili hadi home make miguu ishachoka ...huwa nacheka nikikumbuka huo mtoko.
Nimemkumbuka hili tukio baada ya kisa kilichotokea juzi, nilikua mitaa flani naendelea kuukaribisha mwaka, meza ya pembeni akaja demu mkare akaagiza wine akaanza kuipiga ile kunywa kulamba mwendo wa kumsubiria sponsor aje, baada ya muda jamaa akatimba, jamaa mapepe hata haendani na yule demu kwakweli japo hayanihusu 😁
Dem kuona mlipa bill kaja akaongeza na spidi na akachangamka, mara ikaagizwa chupa ya pili, jamaa anaagiza Heineken zake pale anapiga na watu offer....imefika saa nne akatoka kama anaenda kuongea na simu daaahhh mtoto kaachiwa bill pale ilibidi aache simu
Epuka aibu, beba pesa yako, happy new year familia
Life is full of advantures......enjoy kila momentNashukuru hadi nazeeka haya mambo hayajawahi nikuta,ila nini wanawake wenzangu mnatoka out na stranger bila cash mkononi? Walau pesa ya dharura.Hata rafiki enyewe si wa kumwamini sembuse li stranger?Kweli mna roho ngumu..
Rufiji ya mlango mmoja ama?Alafu pia okana ya bwiru na rufiji ni karibu, si zaidi ya 3 km.
Uzinzi uzinzi F4 unapelekwa kwenye mabaa wa mabuzi, mkaambulia kutembea kwa miguu Kona ya Bwiru mpaka Rufiji si mchezo. Mliua winga ya Isamilo ya chini kanisa la AICT via Manispaa, Sekou Toure Hosp.Mwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari na kuniita mahali jioni, nikajisema si kula tu??? Naenda mie...mida imefika nikachukua simu ya sister nikampigia na kumtaarifu nakuja ila nakuja na sister angu akasema hamna shida njooni.
Haooo tukatinga na viatu virefu jamani halafu mfukoni hatuna hata sh 100, tax tumechukua akaenda kulipa, tukaagiza kitimoto kg 2 na vinywaji, pale mezani yupo na wenzie wanne wakati tunawait msosi uje yule dingi akaanza kunishika shika basi nikawa namind namwambia nipo na sista angu usinishike tuongee tu, akafanya hivo kama mara tatu mi nakataa....bwanaweeeehhh eti akamind akaanza kunifokea na hakuishia hapo akatufukuza bila hata nauli😂😂 vinywaji hatujamaliza wala kitimoto haijafika....ana dhambi yule fala 😁
Hapo mida kama ya saa mbili hivi tukaanza kutembea kwa miguu kutokea kona ya Bwiru hadi mitaa ya rufiji nyie! nyie! tumeomba lift kwenye daladala wapiii tumenyimwa tukavua na viatu tukakanyaga peku moja mbili hadi home make miguu ishachoka ...huwa nacheka nikikumbuka huo mtoko.
Nimemkumbuka hili tukio baada ya kisa kilichotokea juzi, nilikua mitaa flani naendelea kuukaribisha mwaka, meza ya pembeni akaja demu mkare akaagiza wine akaanza kuipiga ile kunywa kulamba mwendo wa kumsubiria sponsor aje, baada ya muda jamaa akatimba, jamaa mapepe hata haendani na yule demu kwakweli japo hayanihusu 😁
Dem kuona mlipa bill kaja akaongeza na spidi na akachangamka, mara ikaagizwa chupa ya pili, jamaa anaagiza Heineken zake pale anapiga na watu offer....imefika saa nne akatoka kama anaenda kuongea na simu daaahhh mtoto kaachiwa bill pale ilibidi aache simu
Epuka aibu, beba pesa yako, happy new year familia
Gesti iko jirani.🤣🤣🤣🤣 Sasa mbunye bar jamani???? Ilikua mtoko wa kula tu na maongezi
ZinaishiaStress zilishakuisha au bado unazo?
Nilizini na wewe bro?Uzinzi uzinzi F4 unapelekwa kwenye mabaa wa mabuzi, mkaambulia kutembea kwa miguu Kona ya Bwiru mpaka Rufiji si mchezo. Mliua winga ya Isamilo ya chini kanisa la AICT via Manispaa, Sekou Toure Hosp.