P physician2023 JF-Expert Member Joined Dec 15, 2023 Posts 859 Reaction score 1,036 Mar 29, 2024 #381 Hivi punde said: Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk? Karibuni wakuu Click to expand... Upo msikiti mkoani,alikuwepo Imam mmasai,na anavyaa kimasai.
Hivi punde said: Binafsi sijawahi kuona mmasai muislam aidha kwa kufunga, kuingia msikitini au tu kuvaa msuli au baibui! Ina maana hawapendi uislam au kuna ambao wamefunga kabisa wanakula daku nk? Karibuni wakuu Click to expand... Upo msikiti mkoani,alikuwepo Imam mmasai,na anavyaa kimasai.
Orketeemi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 5,063 Reaction score 12,866 Mar 29, 2024 #382 Maasai waislam wapo wengi Sana. Huujawahi kuishi Arusha , Manyara so ni rahis kudhan hakuna maasai waislam
Maasai waislam wapo wengi Sana. Huujawahi kuishi Arusha , Manyara so ni rahis kudhan hakuna maasai waislam