Miaka ya 2013 niliwahi kupanga nyumba maeneo fulani Mkoani Arusha .Landloard alikuwa na Binti mmoja tu katika uzao wake.Huyo binti alikuwa anafanya kazi Bank moja kubwa kabisa Tanzania.Mara nyingi siku za weekend walikuwa wakija kuangalia hizo apartment zao, wao walikuwa wakiishi mtaa mwingine mbali kabisa na eneo letu. Siku moja nikafanikiwa kupata namba zake nikaanza kutupia sound ,akawa ananikataa kabisa akasema tuwe marafiki wa kawaida tu. Mwisho wa siku nikajaa kuondoka Arusha nikahamia Dsm nikaagana na familia yao na kuja Mjini kuanza maisha mapya.Baada ya Miezi kama sita naye akahamishiwa Dsm .Kabla ya kuja Dsm akaomba nimtafutie nyumba . Nikamtafutia nyumba jirani na nilipokuwa naishi . Weekend moja nikaenda naye Viwanja kula masanga .Mwisho wa siku nilikula Tunda na ndiyo ilikuwa ndoto yangu kwa kipindi kile .Nikaendelea naye kama mpenzi wangu .Baadaye nilihamishiwa mkoa mwingine na kama tunavyojua fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka. Ukawa mwisho wa mapenzi yetu. Kwa sasa ameolewa na amerudi tena Arusha Kikazi .
Kuna kijisehem pale Udom kinaitwa Coes panaweza kua chuo cha kata ila makarai na vitu vya aina hio n kawaida sana.....Turudi kwenye mada tupe story yako jinsi ulivokamua tunda kimasiharaHujasoma vyuo hivi ardhi,ud(coet),sua,muhimbili..,.huko kwingine kwenye vyuo vya kata hamuwezi kuelewa maana ya sup wala makarai
Am sad umekasirika
Apa nshabeba na condom japo anakuja tu kunisalimia [emoji23][emoji23][emoji23]Daah ushakulaa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
sorry kwa hilo, mi si wa aina hiyo [emoji5]Njoo nikudungue kimasihara
CoES + CIVE+ NATURAL SCIENCE Uwiiii karai ndo AKuna kijisehem pale Udom kinaitwa Coes panaweza kua chuo cha kata ila makarai na vitu vya aina hio n kawaida sana.....Turudi kwenye mada tupe story yako jinsi ulivokamua tunda kimasihara
Unaeza ukapitiliza mpaka mtoni kuteleza sio poa mkuuNdom za nini wewe teleza tu
Unatunyima uhondo mkuu tiririkaa [emoji1][emoji1]Tar 26/8 huu mwaka nilikula kimasihara mwanamke niliemfukuzia miaka 7.. naogopa kuongea zaid sababu huenda now kajiunga na JF ilaa nilimla akiwa period,kitu ambacho sijawah fanya kabla..ilikua ni ajal na sijui kama itakuja kutokea tena
Unaeza ukapitiliza mpaka mtoni kuteleza sio poa mkuu
,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji855][emoji855][emoji16][emoji16]