Mkuu ungekufa hiyo mbususu usingeila mkuu
 
Ni kwel,baada ya tukio hilo,najihis mungu ananipenda sana,ingawaje sometimes huwa nahis labda nishakufaga siku nying ila Haya ninayoyaona na kuyafanya n maisha ya pili kama mfu
Hivi mkuu ultaka kujiua kweli au masihara??
 
Watu mna roho ngumu
 
Unakimbizwa na nani? Kaa tulia usimulie vizuri hiyo kimasihara watu tukuelewe!
 
Huyo best friend wako naye alikuwa anakuja kula mbususu yako au?

Na baada ya kuolewa bado mko tu peace?
 
Hiv hamn thread ya Hawa ndugu zetu kuliwa tunda kimasihara?🤔🤔🤔 kwa nini wanaume tu ndo wanakula kimasihara
 
Habarin,npo Dodoma mwenye connection anisaidie nikapige mbususu....

Tuvae barakoa
 
Yule boy wangu baada ya kuja kugundua rafiki yake alikula mzigo akanipotezea. Huyo rafiki yake (mume wangu) ikabidi tuingie rasmi kwenye mahusiano na badae tukafunga ndoa. Tuna amani sana.
Uwe makini sana, kuna vitu huwa vinakaa ndani ya mioyo ya watu vinakuwa kama havipo (wamevitunza moyoni hivyo kwa nje havionekani), mkianza kukwaruzana vinaweza kuanza ku-backfire!
 
Yule boy wangu baada ya kuja kugundua rafiki yake alikula mzigo akanipotezea. Huyo rafiki yake (mume wangu) ikabidi tuingie rasmi kwenye mahusiano na badae tukafunga ndoa. Tuna amani sana.
Ilikuwaje akagundua nani alienda mwambia au huyo mume wako sasa alienda jigamba kwa mwenzie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…